Mtaalam halafu ana gundu vipi tena ndugu yanguAsije na gundu tu mtaalam wenger
Hii ni habari njema kwa club yetu, nadhani inabidi tu tuishangilie bila kujali ukweli wake au source yake ili tuwaumize watani.SIDHANI KAMA NI KWELI.
natamani sana tuwe tunaweka source za hizi habari.
🙏
Atashuhudia na uchomaji tunguli uwanjani.Dah! Kama ana akili bora tu asije.
Maana hataamini kama kuna timu mpaka kwenye karne hii ya 21 bado zinacheza mpira wa kubutua butua tu uwanjani (yaani mpira wa papatu papatu), badala ya ule mpira uliozoeleka wa kwenye kitabu.
Kuna watu wanaumia huko ..
SimbaSC NguvuMoja
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Atashuhudia na uchomaji tunguli uwanjani.
Kwa kusikia kua kuna watu mashuhuri wanakuja watajifanya wanacheza mpira wa kutandaza.Dah! Kama ana akili bora tu asije.
Maana hataamini kama kuna timu mpaka kwenye karne hii ya 21 bado zinacheza mpira wa kubutua butua tu uwanjani (yaani mpira wa papatu papatu), badala ya ule mpira uliozoeleka wa kwenye kitabu.
Endelea LUDHANISIDHANI KAMA NI KWELI.
natamani sana tuwe tunaweka source za hizi habari.
[emoji120]