Wenger ambaye mchango wake katika mafanikio ya soka ya Weah unafahamika , amewaambia waandishi wa habari kwamba amealikwa na Goerge Weah mwenyewe kuhudhuria siku ya kuapishwa kwake .
" I have been invited by Goerge to come the day he will be made President "
Chanzo - Goal.com