Arsene wenger ni bonge la kocha

Hongereni arsenal mmejitahidi sana, japo hamchukui kombe lakini bado mnaonesha kuwa uwezo upo hata hiyo ya kufuzu 16 bora kwa miaka 16 mfululizo sio haba komaeni! Sisi alhamisiiii.
 
hahahaaa mnawachokoza bure mashabiki wa arsenal jamani, hawana uwezo wa kufika fainal katika 16 zote wamefika mara moja, ndoto za kuchukua ndio zilishakufa zamaniiiiii saiz ni washiriki tu walishajikatia tamaa na ndio maana unawaona wanasherehekea kuingia 16, ukija epl nako toka kikwete kaingia madarakani hadi sasa tumeanza kusahau kama tulishawahi kuwa na rais anaeitwa kikwete hawajawahi beba, kila mwaka wanatuambia huu mwaka wetu huu mwisho wa Siku tunaanza kuona WENGER OUT, kwann wasijipongeze kuingia 16 jamani?
hongereni sana arsenal
hongera Mr bean
wakuacheeeeee ulale
 
Kama huyu ni kocha bora kwanini asubirie mpaka dakika za mwisho??! Timu ilipokuwa haina majeruhi alifanya nini?!! Tusimsifie kwa mwendo wake wa kikobe,mabadiliko yanahitajika.
 
Kama huyu ni kocha bora kwanini asubirie mpaka dakika za mwisho??! Timu ilipokuwa haina majeruhi alifanya nini?!! Tusimsifie kwa mwendo wake wa kikobe,mabadiliko yanahitajika.

Mbio za sakafuni huishia ukingoni huyo mwisho wake robo final
 
Dah Wenger Jana ametisha sana ameishabgaza dunia maana mashabiki wa man u wakitamani tutoke
 
Olimpiacos ni timu chovu tu wala haina kitu subiri asogee 16 bora hapo akutane na Mziki wake..mzee yule hana lolote la maana ile kazi angeiacha tu hawezi kushinda kombe lolote kubwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…