Arsenic poisoning... the old fashioned way..

Arsenic poisoning... the old fashioned way..

Watu itabidi waiogope Dodoma sasa heee!!!.....halafu haikwepeki!!
 
jamani mbona mie naona hilo la sumu haliingiii akilini...hiyo sumu ganii yakaa miezi isonekane hata dalili??lamza then jamaa angeibuka na kufa kishujaa kwa kuamua wa tosa wengine woote na wataja wahusika wooote au family yake ingesimama kusmea kitu.....

so wat i think walielewana vyema jamaa akimbie vizuri na kwenda jificha mahali kwa usalama wa tiafa walilokua wanalihujumu and atakua analipwa mafweza flani mpaka afe...waweza kuta hata marekani hayupo may b yuko nchi zingine dats why serikali yajifanya haijui alipo and balala's side is silent

pia ingekua weli ni mgonjwa serikali ingetushow pichaz na now ingestop mlipia gharama na angekua ashaingia kuungana na kina kasusura kula na papii kocha
 
aiseee nimekua nikisikia tu habari za kigogo bot anyehonga vitu vyekundu tuu hata juice akinunulia mademu ni nyekundu tuu ila ni mwathirika na ni noma kwa hawa dada zetu maarufu kumbe ndio yeye

sasa Jk ata mwajibishaje wakati ni twins wa tabia na vitendo??

it seems kuna wakati hukaa na kudiscuss na mwenzie juu ya wamepata wangapi....
au labda liumba aliingia anga za jk ndiyo jamaa anamwomba apunguze speed asiingie anga zake za uaribifu
 
Kwi! Kwi! Kwi! Mkuu wangu mimi nikiwa mmiliki nitawasema mpaka baadhi ya viongozi uchwara wanaomdanganya rais kuwa wake zao wanaumwa wanahitaji kwenda majuu kumbe wanaenda kwa ajili tu ya arbotion kwa hela zetu za walipa kodi, ndio maana siwezi kumiliki anything, zaidi ya kuuchonga tu!

Yes I said it kama noma na iwe,

hahah hapo kuna kitu umegusia bila kuelezea....hii ni JF banaa ni kina nani haoooo???as wanatumia fweeza zetu ikiwemo shilingi yangu
 
some songs are so hard to remember... that is why we have the internet!
 
some songs are so hard to remember... that is why we have the internet!

The gods may throw a dice
Their minds as cold as ice
And someone way down here
Loses someone dear
The winner takes it all
The loser has to fall
Its simple and its plain
Why should I complain.

Swadakta,,... Mzee Mwanakijiji waikumbuka sehemu ya hii nyimbo, "the winner takes it all" -ABBA (?)
wanaobakia kuugulia ni wafiwa...
 
Back
Top Bottom