kurlzawa
JF-Expert Member
- Jan 23, 2018
- 16,695
- 20,633
Ni ukweli usiopingika kuwa kocha msaidizi wa Manchester city mikel arteta atakuja kuwa kocha mkubwa hapo baadae kutokana na vitu vifuatavyo.
1. Kuimudu kwa asilimia zote nafasi ya kumshauri Joseph pep guadiora pale anapoonekana kuishiwa na mawazo
2. Ufundi na ujuzi anaoupata kutoka kwa master of tactics mzee wa tik taka Joseph pep ambaye kwa sasa anaonekana kumuachia mbinu za kutoka michel na kufikia hatua ya kumpigia chapuo kuwa akiondoka man city mrithi wake awe jamaa yake huyo ambae wanasaidizan kazi kwa sasa hapo clubuni
Naomba uje na mtazamo wako kuhusu hili lakini mtazamo ukipingana na wangu patatokea kasheshe ya kubishana pia karibuni sana
1. Kuimudu kwa asilimia zote nafasi ya kumshauri Joseph pep guadiora pale anapoonekana kuishiwa na mawazo
2. Ufundi na ujuzi anaoupata kutoka kwa master of tactics mzee wa tik taka Joseph pep ambaye kwa sasa anaonekana kumuachia mbinu za kutoka michel na kufikia hatua ya kumpigia chapuo kuwa akiondoka man city mrithi wake awe jamaa yake huyo ambae wanasaidizan kazi kwa sasa hapo clubuni
Naomba uje na mtazamo wako kuhusu hili lakini mtazamo ukipingana na wangu patatokea kasheshe ya kubishana pia karibuni sana