Matanga
JF-Expert Member
- Nov 13, 2019
- 2,281
- 3,976
Moja ya vitu ambavyo haviniumizi kichwa na moyo ni kufungwa kwa Arsenal kwa kipindi hiki ni kitu ambacho tayari nilishakifahamu.
Kutoka kwa Arsene Wenger mpaka kwa Unai Emery tayari kulikua na makosa mengi ambayo hayabadilishiki kwa kipindi kifupi, ni jambo la process na muda.
DESIRE YA ARTETA NI KUBWA KWENYE UFUNDISHAJI WAKE LAKINI VITENDEA KAZI AMEKOSA
Hapa nikimaanisha wachezaji waliopo asilimia kubwa wana viwango vya timu za kawaida badge ya Arsenal inawaelemea.
Ili tupate kile tunachohitaji hatupaswi kumlaumu au kumtukana Arteta bali honestly Arteta anahitaji madirisha manne au matatu ya usajili ili kuitengeneza Arsenal ya ushindani na kuogopeka.
Upande wa magolikipa sioni madhaifu kuanzia kwa Berd Leno, Emiliano Martinez mpaka kwa Mart Macey
MADHAIFU MAKUBWA YAPO KWENYE SAFU YA ULINZI NA SAFU YA KIUNGO HIZI SEHEMU ZINAHITAJIKA KUFUMULIWA ZOTE NA KUUNDWA UPYA
Je, tutafanikiwa kwenye hilo? Hapa inahitaji utimamu kwenye management ya timu mpaka kwenye benchi la ufundi.
TUANZE KUANGALIA KWENYE SAFU YA ULINZI
Hii ni moja ya sehemu ambayo inahitaji kufumuliwa kwa kiwango kikubwa na kwa utimamu zaidi.
Kwa chaguo langu mimi naweza kubakisha watu watatu tu kwenye safu ya ulinzi ambao ni PABLO MARI,CALUM CHAMBERS, BELLERIN pamoja na KIERAN TIERNEY hawa ndo watu wanaoonekana wana uwezo wa kupambana kwa ajili ya badge ya timu na pia tunahitaji watu sahihi wa kuwapa competition hao watu niliowataja hapo.
SEHEMU NYINGINE NI SEHEMU YA KIUNGO
Hapa ndo kwenye mtihani mkubwa sana na tuna mchezaji timamu mmoja tu kwenye sehemu hii ambae ni GRANIT XHAKA na pia tuna mtoto mmoja tu ambae akiamua kuwa mtu mzima basi atafanya makubwa kutokana na ufundi pamoja na spirit aliyo nayo hapa namzungumzia MATTEO GUENDOUZI ila hao wengine wote sidhani kama nisahihi kubaki pale.
Xhaka ni bora, timu ndo mbovu. Hata Pogba kuna kipindi alionekana mbovu kutokana na ubovu wa timu. Likewise Busquets anaonekana mbovu hivi sasa kutokana na ubovu wa timu.
Arsenal ni mbovu, tena mbovu mno, pale hata ukimleta Messi/Ronaldo akashika nafasi utamuona utopolo tu.
Timu inanuka uozo tangu miaka ya 2010 huko, wala tusiseme ni kutokana na mabadiliko ya kocha Arsenal ilikuwa mbovu tangu kitambo kuanzia Academy hadi Seniors.
Even Auba hadeserve kuwepo Arsenal, ninadhani anaona aibu kutuchana kutokana na nafasi yake ya u'Captain.
We are the shittiest among the top teams!
Sehemu hizo zikijengwa kwa utimamu na usahihi basi tutaiona ile Arsenal tunayoihitaji na Arsenal itakayoheshimika
NOTE: ARTETA NI MBUZI WA KAFARA NI LAZIMA ACHINJWE TU HALITOEPUKIKA JAMAA AMESAKIZIWA MBWA KICHAA
Kutoka kwa Arsene Wenger mpaka kwa Unai Emery tayari kulikua na makosa mengi ambayo hayabadilishiki kwa kipindi kifupi, ni jambo la process na muda.
DESIRE YA ARTETA NI KUBWA KWENYE UFUNDISHAJI WAKE LAKINI VITENDEA KAZI AMEKOSA
Hapa nikimaanisha wachezaji waliopo asilimia kubwa wana viwango vya timu za kawaida badge ya Arsenal inawaelemea.
Ili tupate kile tunachohitaji hatupaswi kumlaumu au kumtukana Arteta bali honestly Arteta anahitaji madirisha manne au matatu ya usajili ili kuitengeneza Arsenal ya ushindani na kuogopeka.
Upande wa magolikipa sioni madhaifu kuanzia kwa Berd Leno, Emiliano Martinez mpaka kwa Mart Macey
MADHAIFU MAKUBWA YAPO KWENYE SAFU YA ULINZI NA SAFU YA KIUNGO HIZI SEHEMU ZINAHITAJIKA KUFUMULIWA ZOTE NA KUUNDWA UPYA
Je, tutafanikiwa kwenye hilo? Hapa inahitaji utimamu kwenye management ya timu mpaka kwenye benchi la ufundi.
TUANZE KUANGALIA KWENYE SAFU YA ULINZI
Hii ni moja ya sehemu ambayo inahitaji kufumuliwa kwa kiwango kikubwa na kwa utimamu zaidi.
Kwa chaguo langu mimi naweza kubakisha watu watatu tu kwenye safu ya ulinzi ambao ni PABLO MARI,CALUM CHAMBERS, BELLERIN pamoja na KIERAN TIERNEY hawa ndo watu wanaoonekana wana uwezo wa kupambana kwa ajili ya badge ya timu na pia tunahitaji watu sahihi wa kuwapa competition hao watu niliowataja hapo.
SEHEMU NYINGINE NI SEHEMU YA KIUNGO
Hapa ndo kwenye mtihani mkubwa sana na tuna mchezaji timamu mmoja tu kwenye sehemu hii ambae ni GRANIT XHAKA na pia tuna mtoto mmoja tu ambae akiamua kuwa mtu mzima basi atafanya makubwa kutokana na ufundi pamoja na spirit aliyo nayo hapa namzungumzia MATTEO GUENDOUZI ila hao wengine wote sidhani kama nisahihi kubaki pale.
Xhaka ni bora, timu ndo mbovu. Hata Pogba kuna kipindi alionekana mbovu kutokana na ubovu wa timu. Likewise Busquets anaonekana mbovu hivi sasa kutokana na ubovu wa timu.
Arsenal ni mbovu, tena mbovu mno, pale hata ukimleta Messi/Ronaldo akashika nafasi utamuona utopolo tu.
Timu inanuka uozo tangu miaka ya 2010 huko, wala tusiseme ni kutokana na mabadiliko ya kocha Arsenal ilikuwa mbovu tangu kitambo kuanzia Academy hadi Seniors.
Even Auba hadeserve kuwepo Arsenal, ninadhani anaona aibu kutuchana kutokana na nafasi yake ya u'Captain.
We are the shittiest among the top teams!
Sehemu hizo zikijengwa kwa utimamu na usahihi basi tutaiona ile Arsenal tunayoihitaji na Arsenal itakayoheshimika
NOTE: ARTETA NI MBUZI WA KAFARA NI LAZIMA ACHINJWE TU HALITOEPUKIKA JAMAA AMESAKIZIWA MBWA KICHAA