Tsh
JF-Expert Member
- Aug 26, 2021
- 17,022
- 36,936
Ok bossKiufupi hamna ubashiri sahihi kwenye mechi, labda kidogo kwa wazee wa forex wanaotumia robots ingawa sina ushuhuda nao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ok bossKiufupi hamna ubashiri sahihi kwenye mechi, labda kidogo kwa wazee wa forex wanaotumia robots ingawa sina ushuhuda nao
Mwaka huu Kanji tunamrudisha bombayKwa hali hii mhindi apanue vyumba vya kuhifadhi pesa
Hata ukiwa goalkeeper ukikutana na chikora lazima akubandue tuuKwa ufupi mkuu hakuna uhakika kwenye betting, labda wewe ndiye uwe Goalkeeper.
Pale ni kubahatisha tu
Kuna jamaa yangu kapoteza kazi kwa kubeti...amekopea Mshahara ili a bet...!! Tuligundua Baadaye kuwa kumbe alikuwa ana bet, inasikitisha sana.Kiukwel sijawahi bet ila washkaji zangu wanaobet kila siku utaskia nimeweka 3k nkapata 45k, mara niweka 10k nkapata 119k afu baada ya dkk tano anakuomba 2k
Million 30 utaipata shambaniHapa naisaka milioni 30 ninunue coaster mzee
Kubeti ndo tumaini pekeee la vijanaKuna jamaa yangu kapoteza kazi kwa kubeti...amekopea Mshahara ili a bet...!! Tuligundua Baadaye kuwa kumbe alikuwa ana bet, inasikitisha sana.
Tafuta kazi ya kufanya hiyo 10k kwenye betting sio pesa ya kuifanya kama mtajiMdogo mdogo kaka tutafika tu
Kwa kauli hii wewe sio mkamariaTafuta kazi ya kufanya hiyo 10k kwenye betting sio pesa ya kuifanya kama mtaji
Mkamaria hawezi kuweka mtaji wa 10k Ili afanikiwe kwenye betting wewe unaleta utani na betting nenda kalimeKwa kauli hii wewe sio mkamaria
Dogo narudia tena wewe bado hujaiva kwenye betting ndio maana kipindi cha nyuma ulikua unafungua nyuzi feki za kushinda helaMkamaria hawezi kuweka mtaji wa 10k Ili afanikiwe kwenye betting wewe unaleta utani na betting nenda kalime
Angalia huo mtaji wangu halafu jilinganishe na wewe ambae umejiona umeiva kumbe unaleta vichekesho kwenye betting umekosa kazi yakufanya nenda kalimeDogo narudia tena wewe bado hujaiva kwenye betting ndio maana kipindi cha nyuma ulikua unafungua nyuzi feki za kushinda hela
Jifunze kwanza matumizi ya chatgpt, betting si moja wapoKwa waliofanikiwa kubashiriwa na chatgpt njoeni mtoe ushuhuda wenu, mimi nimejaribu mara kadhaa nikazidi kupotezwa
Unafurahisha sana kijana, kwa fikra zako na mwenye mtaji wa milioni tano kwenye kubeti akiona una mtaji huo naye si ataema unaleta utani kwenye bettingAngalia huo mtaji wangu halafu jolinganishe na wewe
Ndio maana nakuambia nenda kalime hizi ni milion ngapi au unafikiri Mimi ni kama wewe naleta njaa kwenye betting hii ni 10 million ambayo ni mtaji wa betting upo hapa tafuta kazi ya kufanya kijana kwenye betting huwezi toboa Kwa yup mtaji zaidi utakua unasikia shuhuda tubkwa wenzioUnafurahisha sana kijana, kwa fikra zako na mwenye mtaji wa milioni tano kwenye kubeti akiona una mtaji huo naye si ataema unaleta utani kwenye betting
Mshangazi can indeed be considered a good wife, depending on various qualities and characteristics that define a good partner in a relationship. A good wife often embodies traits such as:CHATGPT hadi kuchagua mke
Tafuta hela dogo! Betting inabetiwa kwa kuanzia million 20 hukoNdio maana nakuambia nenda kalime hizi ni milion ngapi au unafikiri Mimi ni kama wewe naleta njaa kwenye betting hii ni 10 million ambayo ni mtaji wa betting upo hapa tafuta kazi ya kufanya kijana kwenye betting huwezi toboa Kwa yup mtaji zaidi utakua unasikia shuhuda tubkwa wenzio
Siwezi tafuta hela sababu sijazipoteza Naona kama umedata embu nioneshe hata mkeka wako mmoja uliostake milion 1Tafuta hela dogo! Betting inabetiwa kwa kuanzia million 20 huko
Oyaa ee tulia kijana mimi naanza kwenye buku 10Naona kama umedata embu nioneshe hata mkeka wako mmoja uliostake milion 1
Tafuta kazi ya kufanya hiyo 10k ni ya kufutia kinyesi sio ya mtaji wa betting nenda kalimeOyaa ee tulia kijana mimi naanza kwenye buku 10