Artificial Intelligence kwenye Telegram

Artificial Intelligence kwenye Telegram

Aiseee hiii kitu ni zaidi ya Binadamu kwa uwezo nimemuliza maswali mengi amenijibu kifasaha kabisa duh mpka nimeshangaa nimeamin kweli Dunia Inaenda Kasi 😳🤔
 
Nimeipenda kwa kuwa na kiswahili Iko vizuri. Hongera sana kwa kazi nzuri
 
Habari ndugu!
Natambulisha kwenu AI bot ya Telegram ambayo inaweza kushiriki kwenye mijadala mbalimbali ya groups za Telegram:
Faida za bot hii:
Kwa wanafunzi/wanachuo ambao wana_group za discussion kwenye Telegram watapata fursa ya kupata mchango wa moja kwa moja kutoka kwa bot pale ambapo watamtag kwenye hiyo conversation, lakinip pia wanaweza omba awape reference zaidi, afanye majuisho ya discussion au atoe maoni yake ktk mada inayo endelea.

Lakini pia, endapo umechelewa kuingia kwenye group, na pindi unapoingia unakuta SMS 50 au 100+ huwa inakuwa ngumu sana kusoma moja moja, hivyo unaweza mtag bot huyu na kumwambia akupe summary ya conversation iliyokuwa inaendelea, kisha ndani ya sekunde 10, bot atakupa summary ya conversation

Ili kumtumia bot huyu wa Telegram fuata hatua hizi
1. Kama ni kwa matumizi ya group search @WaGPTBot kisha mu_add kwa group, baada ya hapo ukitaka bot achangie utaanza kwa kumtag mfano @WaGPTBot naomba nipe summary ya hiki kilicho jadiliwa hapa Kisha bot atafanyia kazi ulichomwambia
2. kama ni kwa matumizi binafsi search @WaGPTBot au fuata link hii https://t.me/WaGPTBot kisha chat naye inbox moja kwa moja.

Next feature:
Tunafanyia kazi uwezo wa bot kutambua magonjwa ya mazao pale unapomtumia picha ya mmea mwenye magonjwa.

Ahsanteni sana.
Huko kwa wenzetu wanatumia bongo zao vizuri sana..
Africa tunatumia bongo zetu kutafuta chakula ili tuishi leo tu..dah.
 
Habari ndugu!
Natambulisha kwenu AI bot ya Telegram ambayo inaweza kushiriki kwenye mijadala mbalimbali ya groups za Telegram:
Faida za bot hii:
Kwa wanafunzi/wanachuo ambao wana_group za discussion kwenye Telegram watapata fursa ya kupata mchango wa moja kwa moja kutoka kwa bot pale ambapo watamtag kwenye hiyo conversation, lakinip pia wanaweza omba awape reference zaidi, afanye majuisho ya discussion au atoe maoni yake ktk mada inayo endelea.

Lakini pia, endapo umechelewa kuingia kwenye group, na pindi unapoingia unakuta SMS 50 au 100+ huwa inakuwa ngumu sana kusoma moja moja, hivyo unaweza mtag bot huyu na kumwambia akupe summary ya conversation iliyokuwa inaendelea, kisha ndani ya sekunde 10, bot atakupa summary ya conversation

Ili kumtumia bot huyu wa Telegram fuata hatua hizi
1. Kama ni kwa matumizi ya group search @WaGPTBot kisha mu_add kwa group, baada ya hapo ukitaka bot achangie utaanza kwa kumtag mfano @WaGPTBot naomba nipe summary ya hiki kilicho jadiliwa hapa Kisha bot atafanyia kazi ulichomwambia
2. kama ni kwa matumizi binafsi search @WaGPTBot au fuata link hii https://t.me/WaGPTBot kisha chat naye inbox moja kwa moja.

Next feature:
Tunafanyia kazi uwezo wa bot kutambua magonjwa ya mazao pale unapomtumia picha ya mmea mwenye magonjwa.

Ahsanteni sana.
Nzuri.
 
Nataka kuwapa tips nyingine ya namna ya kumtumia bot huyu kwenye Telegram

Kuna wakati inaweza kutokea unahitaji taarifa flani zilizopo ndani ya document yenye page nyingi haraka iwezekanavyo, au unataka kujua taarifa zote just in summary na point muhimu tuu mfano document iko na page 50+ unafanyaje?

Sasa tumeongeza feature inayokuwezesha ku_summarize document hiyo pamoja na kukupa taarifa muhimu zilizopo ndani ya document hiyo ndani ya sekunde 30 tuu.

Unachotakiwa kufanya kwanza upload word document (.doc au .docx) yako kwa bot kisha andika ujumbe wa kumwelekeza unataka afanye nini kwenye hiyo document. Ikiwa unatumia Telegram kwa PC unaweza upload document na kuweka caption ya maelezo ambayo unataka
@WaGPTBot afanye.

Mfano hapa chini document hii ina_page 40, na bot amefanya summarization ndani ya sekunde 30 tuu.

Ili kumtumia Ingia telegram sasa kisha tafuta @WaGPTBot

1686847015009.png
1686847032022.png
1686847044330.png
 
Back
Top Bottom