Artificial Intelligence rapper-FN Meka dunia hii

Nafaka

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2015
Posts
12,154
Reaction score
31,246
Hii ngoma hapa mmiliki wake ni artificial robot aliyekuwa signed na record label kubwa.
It is all AI naona ufake umeingilia mziki.
Soon tutaona artificial movies
 
Nimejaribu kufuatilia FN Mela ni fictional artist (mf.katuni) , maisha yake ya sanaa yako katika mfumo wa AR, Kama uonavyo video zake ni kikaragosi kinakuwa projected kwenya mazingira halisi tuishiyo. Sauti anayotoa ni binadamu halisi anaimba.

Nadhani hii ni fursa imeonekana na wajanja wakapita nayo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…