there you come nyumba kubwa!!
mi nadhani kama yanakukuta haya huna haja ya kuanza kuibia ibia kwa kuchiti, jiridhishe kuwa umefikia ukomo wa ku put up with his nosense, move on with your life (pack and leave)
maana kwa kumjoin unamkomesha nani hasa?
Fide kosa limeshatendeka hebu acheni kumuhukumu mara nyingi msaidieni arudishe hisia na mapenzi ya dhati kwa mumewe. Angekuja mwanaume hapa na kilio cha kunyenyeswa na mutendwa na mkewe mngemshauri atafute nyumba ndogo ila mwanamke ah ni kicheche!! hii jamii yetu hii, nawaombeni wanawake wenzangu tujifunze kuishi nayo hivi hivi!
<br />cdhani kama nia ni kukomesha, nia ni kupunguza machungu.....
cdhani kama nia ni kukomesha, nia ni kupunguza machungu.....
Unapunguza machungu kwa kumegwa nje? hapa unajizidishia machungu ukikolea kwa hicho kidumu ndo balaa huchomoki
Buddy... do you real mean what you say?<br />
<br />
Dearest, binafsi nahisi naongeza mateso juu ya mateso. Ni either nijaribu kutimiza wajibu wangu kurjrsha afya kwenye mahusiano yetu au nikayafanye hayo nikijua basi mkata wetu umeisha....
<br />Buddy... do you real mean what you say?
Unapunguza machungu kwa kumegwa nje? hapa unajizidishia machungu ukikolea kwa hicho kidumu ndo balaa huchomoki
what about cheating for fun, as NN showed how it is done in the US<br />
<br />
From the deepest part of my soul...
Sitaki kuishi na guilty feelings, ndio maana naona kuchiti kwa kuwa tu nimechitiwa, will hurt me even more!
cdhani kama nia ni kukomesha, nia ni kupunguza machungu.....
<br />what about cheating for fun, as NN showed how it is done in the US
abadilishe namba y simu basi kama anaona anasumbuliwa na mshefa
<br />sasa huyu dada ndio aliona ndio njia mbadala ya kupunguzia machungu yake, na ndio kashanogewa hivyo so kifutacho ni kuishi na mume kwa ajili ya watoto, mume alichokuwa anakitafuta amekipata.....
sasa huyu dada ndio aliona ndio njia mbadala ya kupunguzia machungu yake, na ndio kashanogewa hivyo so kifutacho ni kuishi na mume kwa ajili ya watoto, mume alichokuwa anakitafuta amekipata.....
............we unaonaje??Swali...........................Huwa inawezekana kupenda tena baada ya kuoa/kuolewa maana hapa naona mchanganyiko wa mambo.
Swali...........................Huwa inawezekana kupenda tena baada ya kuoa/kuolewa maana hapa naona mchanganyiko wa mambo.
............we unaonaje??
Huwa sielewi wanaojustify infidelity kwa namna yoyote na dnio maana sijawahi kujustify it on my side
Infidelity ni selfishness, but necessary sometimes to reduce internal pressure especially after a rough life ride
As i said before... siwezi kutetea infidelity, lakini siwezi kucondemn.... ila ntacondemn wanaotetea kwani haina haja
THERE IS NO JUSTIFICATION TO ANYONE ELSE EXCEPT THE DOER AND IT IS DOABLE.... AND GOOD AS LONG AS YOU DONT GET CAUGHT