Arumeru; Afariki Dunia Baada ya kunywa pombe za mashindano

Diamond... inaitwa mondi
 
Imagine kuaga dunia kwa ajili ya ujinga kama huu jamanii hafikirii hata familia yake jamani, shetani anajua kututesa khaaa 😡
Pombe zina viwanda na viwanda vipo kwa ajili ya watu kuna watu wanashusha mahekalu kwa kuuza pombe, drink responsibly usinywe kukomoa unamkomoa nani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…