saigilomagema
JF-Expert Member
- Jun 5, 2015
- 4,683
- 7,222
Kuanzia saa 11 unusu jioni hii imepita mvua kidogo tu Arumeru-Arusha umeme umekata, jamani hii miundombinu imejengwa na nini? Hii ni aibu! Kwa hiyo gizani mtindo moja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wingu Tu na upepo! Kwisha habari yake, wanatafuta justification ya ule upumbavu waoKimara hata mvua haikunyesha umeme umekatika.
Bora wao vumbi limeondoka.Kimara hata mvua haikunyesha umeme umekatika.
Acha post za kiupinde hapaNdio maana tunawaletea umeme wa Ethiopia
Unashangaa huko njoo mitaa ya ifakara,ilovo, mikumi na kilosa,huku manyunyu tuu wanakata usiku wote,wanasema mameneja siku hizi Wana remort ya kukata umeme usioeleweka. Wakati huko kwenye vimbunga kama vyote I mean USA mambo ni tofauti.We are slave of our own fate.Kuanzia saa 11 unusu jioni hii imepita mvua kidogo tu Arumeru-Arusha umeme umekata, jamani hii miundombinu imejengwa na nini? Hii ni aibu! Kwa hiyo gizani mtindo moja
Yaani unawaza hupati jibuWingu Tu na upepo! Kwisha habari yake, wanatafuta justification ya ule upumbavu wao
Subiri umeme wa uhakika kutoka Ethiopia 🇪🇹Kuanzia saa 11 unusu jioni hii imepita mvua kidogo tu Arumeru-Arusha umeme umekata, jamani hii miundombinu imejengwa na nini? Hii ni aibu! Kwa hiyo gizani mtindo moja
We na bichwa lako Kila siku kuisifia ccm na mama yenu ndo mkomae na Hali zenu sasaKuanzia saa 11 unusu jioni hii imepita mvua kidogo tu Arumeru-Arusha umeme umekata, jamani hii miundombinu imejengwa na nini? Hii ni aibu! Kwa hiyo gizani mtindo moja
Hehehe!!!Kimara hata mvua haikunyesha umeme umekatika.
Wa Ethiopia hautakatika.Kuanzia saa 11 unusu jioni hii imepita mvua kidogo tu Arumeru-Arusha umeme umekata, jamani hii miundombinu imejengwa na nini? Hii ni aibu! Kwa hiyo gizani mtindo moja