Uchaguzi 2020 Arumeru, Arusha: Watumishi wa Chuo cha Misitu Olmotonyi watakiwa kwenda kumsikiliza Mgombea Urais wa CCM bila kukosa

The Sheriff

JF-Expert Member
Joined
Oct 10, 2019
Posts
747
Reaction score
2,112
Wafanyakazi wa Chuo cha Misitu cha Olmotonyi cha wilayani Arumeru mkoani Arusha wametakiwa kufika bila kukosa ili kusikiliza sera za mgombea Urais kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi.

Taarifa ya Mkuu wa Chuo imeeleza kuwa leo tarehe 22 Oktoba usafiri utakuwepo kuanzia 1:00 asubuhi kuwafikisha watumishi katika viwanja vya ofisi ya Mkuu wa Wilaya, maeneo ya Usa River.

 
Mama Maria Nyerere aliita kuongeza vichwa. Kila kitu ni kuigiza tu. Kiongozi wa kuigiza, Tume ya kuigiza, kuapisha mawakala nako ni kuigiza, uchaguzi nao wa kuigiza. Kutangaza mshindi nako ni kuigiza tu! Tabu kweli kweli.
Hiyo sio ya kukosa.

JPM ndani ya Chuga,

Usisimuliwe nenda mwenyewe ukajionee historia ikiandikwa.
 
No free will....ni lazima kwenda unataka hutaki.
 
Lazima kuhudhuria bila kukosa hii ndio tofauti ya umati wa CHADEMA vs ule wa CCM.
 
Safi Sana. Hawa ndio wakuu wa vyuo wanaojitambua.
Sema tu mshipa wa aibu hawana. Kama wangekua nao hata Lissu alipoenda wangelazimishana hivi hivi na usafiri juu.
KMMK
 
Ni Rais anafanya mkutano au mgombea Urais? Disgusting!!
 
Reactions: rr4
Ameshalegea
Ameshalegea
Haya Nataka Mpaka Agaregare Chini
Yaani Bila Ujanja Hakuna Watu πŸ˜πŸ˜‚πŸ˜€πŸ˜…πŸ˜„πŸ˜„
Hawa Wakina Pole Pole Wanamdanganya Mzee Apumzike Mtamuua Kwa Pressure
 
Waende tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…