Kuna mwingine kafungwa mavyuma mwilini.
Nani anamdhihaki?Vyuma ni pona yake, mlipanga kumwondoa mkashindwa.... leo mnamdhihaki.
Nani anamdhihaki?
Upuuzi mtupu, uliniona wapi napanga hayo mauaji?Mliopanga na kutekeleza mauaji yaliyofeli, matibabu mkamnyima... kaenda kuponea nchi za watu leo mnasema msaliti kwa vile mlitamani abaki mummalizie!
Sema yeye hatolipiza, hivyo kaeni kwa kutulia.
Sio kweleSasa ubaya uko wapi hao ni watumishi wa serikali na huyo wanaeenda kumsikiliza ni bosi wao ,tatizo lenu chadema hamna hao watu wa kuwaita kwa barua ndio maana uwa mnatangaza tu ,kwanini mnatangaza lengo lenu si kuita watu kama kama munatumia mitandao na magari ya matangazo kuita watu maana yake kwamba mnaitaji watu kama mnao mifukoni kwanini muwatangazie.
Vyuma mlimsababishia baada ya kummiminia risasiKuna mwingine kafungwa mavyuma mwilini.
Jana kuna jamaa yangu anasema watu walisombwa toka Rombo, Marangu, Kilema, Kirua, Old Moshi, Machame, Same, Mwanga, Siha ili kwenda kujaza nyomi la Magufuli chuo cha ushirika. Japo ameenda ila kura ni ✌️✌️✌️✌️✌️
Swala sio wivu ... kwa sasa issue ni kubadilika kwa upepo wa ushawishiWivu umekujaa.
Halafu leo eti mtu anamfananisha Lissu na Magufuli kweli jamaniLazima kuhudhuria bila kukosa hii ndio tofauti ya umati wa CHADEMA vs ule wa CCM.
Acha waende tu wakaongeze vichwa!ccm kwisha habari !
Exactly, huyu Ni Mgombea na sio Prezidaa mpaka aapishwe Tena....Ni Rais anafanya mkutano au mgombea Urais? Disgusting!!
Haya sawa.Swala sio wivu ... kwa sasa issue ni kubadilika kwa upepo wa ushawishi
Uliniona ninammiminia risasi?Vyuma mlimsababishia baada ya kummiminia risasi
Kwa wajinga na vibaraka wa makuwadi.ccm kwisha habari !
Kwani kuna tatizo kumsikiliza raisi wao? Kama inakuuma chomoa!Wafanyakazi wa Chuo cha Misitu cha Olmotonyi cha wilayani Arumeru mkoani Arusha wametakiwa kufika bila kukosa ili kusikiliza sera za mgombea Urais kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi.
Taarifa ya Mkuu wa Chuo imeeleza kuwa leo tarehe 22 Oktoba usafiri utakuwepo kuanzia 1:00 asubuhi kuwafikisha watumishi katika viwanja vya ofisi ya Mkuu wa Wilaya, maeneo ya Usa River.
View attachment 1607780