Uchaguzi 2020 Arumeru: Mawakala wa CHAUMA bado wanasota Ofisi ya Mkurugenzi

Uchaguzi 2020 Arumeru: Mawakala wa CHAUMA bado wanasota Ofisi ya Mkurugenzi

Duniahadaa

JF-Expert Member
Joined
Oct 16, 2017
Posts
336
Reaction score
677
Mawakala wa CHAUMA bado wanasota ofisi ya DED ARUMERU. Siku ya kwanza waliambiwa fomu zimepotea. Baada ya muda kuongezwa sasa DED anadai mawakala wametoka wapi wakati chama hakina mgombea ubunge.

Viongozi wametishiwa kuwekwa ndani. Mmoja aliyekuwa mbishi alikamatwa na kupelekwa polisi bahati nzuri wakashidwa namna ya kuandika kosa lake kwenye kitabu cha mapokezi pale polisi USA RIVER, akaachiwa. WAMEAPA KUTINGA VITUONI ILI LIWALO NA LIWE.

NB: Hili suala so dogo, mainstream media fuatilieni hili swala dunia ijue aina ya wasimamizi tulio nao.
 
Chadema wamewazunguka hawa vijana ili wasiapishwe
 
Kama hawajaapishwa vyama vyote vya siasa hasa Upinzani. Washtukiane kudhibiti udhalimu huu. Endapo wahusika wa kuapisha hawataki kutimiza wajibu wao kisheria na kwa haki.
 
Mawakala wa CHAUMA bado wanasota ofisi ya DED ARUMERU. Siku ya kwanza waliambiwa fomu zimepotea. Baada ya muda kuongezwa sasa DED anadai mawakala wametoka wapi wakati chama hakina mgombea ubunge.

Viongozi wametishiwa kuwekwa ndani. Mmoja aliyekuwa mbishi alikamatwa na kupelekwa polisi bahati nzuri wakashidwa namna ya kuandika kosa lake kwenye kitabu cha mapokezi pale polisi USA RIVER, akaachiwa. WAMEAPA KUTINGA VITUONI ILI LIWALO NA LIWE.

NB: Hili suala so dogo, mainstream media fuatilieni hili swala dunia ijue aina ya wasimamizi tulio nao.
Hutu tu vyama ni hovyo sana.
 
ipo siku na mwaka fulani chama fulani kitakua chama cha upinzani na mawakala wake watasumbuliwa hivihivi
 
Back
Top Bottom