LGE2024 Arumeru: Wananchi wamkataa Mwenyekiti wao mpya wa CCM, inadaiwa kampiga rungu raia na kumvunja mkono

LGE2024 Arumeru: Wananchi wamkataa Mwenyekiti wao mpya wa CCM, inadaiwa kampiga rungu raia na kumvunja mkono

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Wananchi wa kata ya kiutu wilaya ya Arumeru, Mkoani Arusha wameandamana na kufanya kikao na Diwani wao wa kata hiyo Malaki Marambo Kwa lengo la kushinikiza kumkataa Mwenyekiti wao Hashim Saitabao aliyeshinda uchaguzi wa Serikali za mitaa uliofanyika Novemba 27, 2024

Chanzo Cha wananchi hao kumkataa Saitabao inadaiwa kuwa ni baada ya Mwenyekiti huyo kumpiga mwananchi anayefahamika kwa jina la Julias Ngoishilo kwa kutumia fimbo aina ya rungu eneo la kichwani na kumvunja mkono

Aidha wananchi hao wamemuomba diwani huyo kuweza kuwaletea Mwenyekiti mwingine ambae atashikamana na wananchi katika mambo yote ya jamii.

 
Wajinga kweli,eti diwani awaletee mwenyekiti mwingine,hawajui hata mwenyekiti anavyopatikana
 
Back
Top Bottom