Mrs Thabo Bester
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 3,145
- 7,921
Hata kujiitta Nabii ni kujikweza...acha Mungu akukweze...Hapo hakuna Mtumishi wa Mungu. Kule kujiita NABII MKUU tu tayari huyu anajitukuza mwenyewe na hatangazi utukufu wa Mungu. Hata kwenye vitabu vitakatifu hatujawahi kusikia cheo hicho. Wapo manabii tu lakini sio MANABII WAKUU.
Nabii katoka speed ya furaha.Halafu ajabu anayejiita nabii mkuu anafurahia na kuona ni sawa! Mume mwenye kujitambua hataacha mke wake aende kanisa la namna hiyo
KWA maana yao yupo sahihiHapo hakuna Mtumishi wa Mungu. Kule kujiita NABII MKUU tu tayari huyu anajitukuza mwenyewe na hatangazi utukufu wa Mungu. Hata kwenye vitabu vitakatifu hatujawahi kusikia cheo hicho. Wapo manabii tu lakini sio MANABII WAKUU.
Kama ambavyo Wakatoliki wanavyoabudu masanamu ya bikira maria na kuomba eti awaombee.Ni sawa. Maana ni kawaida watu kuchora tatoo watu amaa wanyama ama hata masanamu kwenye miili yao ama nyumba zao.
Bora huyo kachora tatoo, kuna wengine unakuta amechonga sanamu la mti, miti hii tunayoiona na akaiunganisha kwa misumari halafu akaanza kuiabudu na kutegemea hilo lisanamu limuombee ama limuepushe na balaa za Dunia, sanamu la miti.
Dini zinafanya watu wamakua wapumbavu sana.
Ujinga wa mwafrikaMwanamke Mmoja jijini Arusha amechora picha yenye jina la mtumishi wa Huduma ya Ngurumo ya Upako anayefahamika kwa jina la Nabii Mkuu Geor Davie.
Mwanamke huyo alipoulizwa kwa nini amechora tatoo yenye jina la nabii huyo, alijibu anampenda licha ya kuwa anapitia mwengi.
"...Ni jambo la baraka sana mtu mpaka anaamua kuandika jina la nabii mkuu". Baadae nabii huyo alimuomba mwanamke huyo aoneshe picha ya tatoo iliyopo begani mwake kanisani hapo.
Kanisa la ngurumo ya Upako huhudhuriwa na waumini zaidi ya 5000 kila jumapili.
Siku za Karibuni Nabii huyo
amekuwa gumzo mitandaoni kwa kutoa zawadi za Pesa na magari kwa baadhi wasanii wa Muziki..Gudluck Gozbert (Mercedes Benz), Mkali wenu (BMW X5).
Una maoni gani?
View attachment 2427554
Sometimes naonaga hawa wakristu ni wajinga sana bora ya waislam. Japo Mimi ni christianAlfu ajabu Kuna wahumini walipigamakofi kbsa dhid ya mwanamke mjinga aliyeongeambele ya kanisa hilo
Ki lukomo cha mamako ndicho kimesimama hapo kikihubiri!!we kum.. huyo anaehubiri ni mamak au? yupo kwenye kikoba
choko wee kafirw ukoKi lukomo cha mamako ndicho kimesimama hapo kikihubiri!!
unapelekewa Moto wewe punga.Ki lukomo cha mamako ndicho kimesimama hapo kikihubiri!!
Hatimaye umefufuka kama ulivyosema ....Shikamoo babu
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Mwanamke Mmoja jijini Arusha amechora picha yenye jina la mtumishi wa Huduma ya Ngurumo ya Upako anayefahamika kwa jina la Nabii Mkuu Geor Davie.
Mwanamke huyo alipoulizwa kwa nini amechora tatoo yenye jina la nabii huyo, alijibu anampenda licha ya kuwa anapitia mwengi.
"...Ni jambo la baraka sana mtu mpaka anaamua kuandika jina la nabii mkuu". Baadae nabii huyo alimuomba mwanamke huyo aoneshe picha ya tatoo iliyopo begani mwake kanisani hapo.
Kanisa la ngurumo ya Upako huhudhuriwa na waumini zaidi ya 5000 kila jumapili.
Siku za Karibuni Nabii huyo
amekuwa gumzo mitandaoni kwa kutoa zawadi za Pesa na magari kwa baadhi wasanii wa Muziki..Gudluck Gozbert (Mercedes Benz), Mkali wenu (BMW X5).
Una maoni gani?
View attachment 2427554
Imani ni somo pana sana kwahiyo ni ngumu kulielewa. Wachina wanaabudu sanamu hata india lkn wapo mbali sana kiuchumi.Ni sawa. Maana ni kawaida watu kuchora tatoo watu amaa wanyama ama hata masanamu kwenye miili yao ama nyumba zao.
Bora huyo kachora tatoo, kuna wengine unakuta amechonga sanamu la mti, miti hii tunayoiona na akaiunganisha kwa misumari halafu akaanza kuiabudu na kutegemea hilo lisanamu limuombee ama limuepushe na balaa za Dunia, sanamu la miti.
Dini zinafanya watu wamakua wapumbavu sana.
Ndugu Showmax ,wewe ni "ke" au "me"!!??Sababu ana pesa na ni handsome