LGE2024 Arusha: Aliyehamia CCM asema, wanaosema wagombea wa CHADEMA walienguliwa si kweli

LGE2024 Arusha: Aliyehamia CCM asema, wanaosema wagombea wa CHADEMA walienguliwa si kweli

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

The Watchman

JF-Expert Member
Joined
Nov 7, 2023
Posts
896
Reaction score
1,427
Katika harakati za ufunguzi wa Kampeni Serikali za Mtaa jijini Arusha mapema jana Mjumbe wa Kamati kuu na Mlezi wa Mkoa wa Arusha Rajabu Abrahman Abdallah wa chama cha Mapinduzi CCM amepokea kadi za waliokuwa wagombea wa chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA wakati wa ufunguzi wa Kampeni hizo.

Wanachama hao kutoka CHADEMA wamekabidhi kadi zao na kujiunga rasmi na CCM.

Soma pia: Arumeru: Wagombea CHADEMA Mbuguni waenguliwa, huenda wakasusa!

 
Katika harakati za ufunguzi wa Kampeni Serikali za Mtaa jijini Arusha mapema jana Mjumbe wa Kamati kuu na Mlezi wa Mkoa wa Arusha Rajabu Abrahman Abdallah wa chama cha Mapinduzi CCM amepokea kadi za waliokuwa wagombea wa chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA wakati wa ufunguzi wa Kampeni hizo.

Wanachama hao kutoka CHADEMA wamekabidhi kadi zao na kujiunga rasmi na CCM.

Soma pia: Arumeru: Wagombea CHADEMA Mbuguni waenguliwa, huenda wakasusa!

View attachment 3160833
Nashauri , usajili wa vyama vya siasa vifanywe kila mwaka kama timu ya mpira ili kuweka heshima ktk siasa
 
Back
Top Bottom