Arusha Baridi

Arusha Baridi

Ukiingia ndani kwenye post zake anataka iwe kama group hii kwangu hapana kubwa.
Group lolote jf halijawahi kuwaacha salama wana jf.
Mimi nikijikaza ntaonana na mmoja tu ili ikitokea vinginevyo najua mtu wa kudeal naye..sasa group utamnyooshea nani kidole.
Katika haya mambo unatakiwa kuwaza nje ya box
Basi akutane na wewe kivyako then akakutane na hao wengjne
 
Huenda una nia njema lkn unavyotaka utekelezaji wake hautakuwa sawa.
Kwa uzoefu wangu ni kuwa kutaniko lolote la kuzidi watu wawili jf halijawahi kuwaacha watu salama
Siyo lazima wote watokee jf.

I can get a lady friend from jf, akaja with her friend nikawa na a friend ..Tuka have some good time together.

Hivyo tu
 
Unakosea sana Nakadori.
Mwanamme mwenye akili na aliyekamilika huwa sio maza zote anawaza ngono.
Mimi nina marafiki wa kike pia tunaheshimiana na urafiki una mipaka.
Ufunue kila sketi ili iweje?
Huo ni ulimbukeni mkuu
Haya bwana
 
Kwa wale wakazi wapya wa Arusha ambao hamjazoea hili baridi kama mimi mnaendeleaje?

It is too cold here jamani mpaka I miss Dar.

Is there any lady here or gentleman that we can have some pretty dates even for coffee or outing tupeane company.
Huna lolote unataka mdinyo sema upo wapi nikupe mdogowangu chapchap.
 
Ukiingia ndani kwenye post zake anataka iwe kama group hii kwangu hapana kubwa.
Group lolote jf halijawahi kuwaacha salama wana jf.
Mimi nikijikaza ntaonana na mmoja tu ili ikitokea vinginevyo najua mtu wa kudeal naye..sasa group utamnyooshea nani kidole.
Katika haya mambo unatakiwa kuwaza nje ya box
Acha kukuza mambo mkuu.
 
Sijui uzoefu wako jf rafiki yangu lkn ni sehemu hatari kuliko hatari yoyote.
Nimeshudia watu wakiumizwa bila sababu ya msingi hadi picha zao za sirini zikianikwa.
Humu kuna watu wa kila sampuli.

1. Wastaarabu sana
2. Mabedui kupindukia
Tahadhari ni muhimu sana
Ila hata wakiweka hamna jipya.. kama ni k ji ile ile
 
Back
Top Bottom