EnjoyyNiko poa pia, nafurahia kiubaridi flani hivi
Sasa tutaogopa mpaka liniiWe mutu nausifu ujasiri wako..haunaga woga kabisa
Nalifahamu hili mkuu..Sijui uzoefu wako jf rafiki yangu lkn ni sehemu hatari kuliko hatari yoyote.
Nimeshudia watu wakiumizwa bila sababu ya msingi hadi picha zao za sirini zikianikwa.
Humu kuna watu wa kila sampuli.
1. Wastaarabu sana
2. Mabedui kupindukia
Tahadhari ni muhimu sana
Utoto huo lkn wanafanya wajingaSasa tutaogopa mpaka linii
Maana sasa inakuwa too much...
Yani kama ikatokea nimeserebuka na wewe halafu uje ulete humu ntakuona wa juzi sana
Hahaha mwanangu una nini lkn?🤣🤣🤣Nalifahamu hili mkuu..
Nahitaji wastaarabu tu..Au basi sitaki tena.
Naomba unitajie hizo sehemu za kuwapata wastaarabu huku Arusha
Any lady or gentleman??? Ina maana wewe ni......Kwa wale wakazi wapya wa Arusha ambao hamjazoea hili baridi kama mimi mnaendeleaje?
It is too cold here jamani mpaka I miss Dar.
Is there any lady here or gentleman that we can have some pretty dates even for coffee or outing tupeane company.
Me nakwambia uende wewe unajifanya kukwepa kwepa hapa...Hahaha mwanangu una nini lkn?🤣🤣🤣
Ndo fikira zako zilikoishia mkuu[emoji848]Any lady or gentleman??? Ina maana wewe ni......
Nami nasema ukuje wewe nimekuchagua😆Me nakwambia uende wewe unajifanya kukwepa kwepa hapa...
Nkija arusha ntakutafuta... nadhan inaweza kuwa december 2022 mwanzoni au January 2023 mwishoniNami nasema ukuje wewe nimekuchagua😆
December sitakuwepo kwa Samia labda Januari panapo majaaliwaNkija arusha ntakutafuta... nadhan inaweza kuwa december 2022 mwanzoni au January 2023 mwishoni
Good,si kila mara tuwaze mambo hasi,kwanza kwanini tuwaze negative kama tunaishi na watu vyema??Sasa tutaogopa mpaka linii
Maana sasa inakuwa too much...
Yani kama ikatokea nimeserebuka na wewe halafu uje ulete humu ntakuona wa juzi sana
Usiogope mkuu,wewe kama ni mwema uogope nini??Nalifahamu hili mkuu..
Nahitaji wastaarabu tu..Au basi sitaki tena.
Naomba unitajie hizo sehemu za kuwapata wastaarabu huku Arusha
PoaDecember sitakuwepo kwa Samia labda Januari panapo majaaliwa
Kwa wale wakazi wapya wa Arusha ambao hamjazoea hili baridi kama mimi mnaendeleaje?
It is too cold here jamani mpaka I miss Dar.
Is there any lady here or gentleman that we can have some pretty dates even for coffee or outing tupeane company.
Ndiyo muda mzuri huu wa mazoezi, ukitoka job unakimbiakimbia kidogoKawaida wapi..hahaha ..Baridi linaleta njaa na unakuwa unakula kama mchwaaa