Superb2014
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 9,266
- 7,426
Kuna kitimoto hapo, vyakula vyao ni vitamu sijawahi kula haponjoo hapa UZUNGUNI CITY PARK LOCAL FOOD.fika hapo then nii nbox..nipo hapa nasubiri samaki wa kuoka.chakula cha hapa ni safi chuga nzima...
huku apetizer nikitumia BLACK & WHITE..
karibu sana all things on my treat
USIJALI.
Quickie can do you better.Kwa wale wakazi wapya wa Arusha ambao hamjazoea hili baridi kama mimi mnaendeleaje?
It is too cold here jamani mpaka I miss Dar.
Is there any lady here or gentleman that we can have some pretty dates even for coffee or outing tupeane company.
umependa nini....nauliza tuOh nimependa ulivyomalizia, ila aisehh kwa kweli hili baridi bado kidogo tu snow [emoji944] ianguke, baridi ilikuwepo siku za nyuma ila hili la sasa ni la kudead mtu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Me niko tayati nitoke dar,nikufate wewe mrembo.
Kindly elaborateQuickie can do you better.
Asante mkuiPole kwa baridi.
Nafanyaga homeNdiyo muda mzuri huu wa mazoezi, ukitoka job unakimbiakimbia kidogo
Acha tu mkuuOh nimependa ulivyomalizia, ila aisehh kwa kweli hili baridi bado kidogo tu snow [emoji944] ianguke, baridi ilikuwepo siku za nyuma ila hili la sasa ni la kudead mtu
Tukutane kidimbwi a.k.a billzAcha tu mkuu
au hapa shisha village tucheze kingalilelooo....Njoo huku Cheka Ung'atwe tupige zetu banana (nax) na dadii mwili utakaa sawa.
kitimoto hawana man...Kuna kitimoto hapo, vyakula vyao ni vitamu sijawahi kula hapo
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Nimependa hicho alichosema anapenda kupata kampani ya kahawa kidogo , kwa kweli we si unaona hii hali ilivyo jjumependa nini....nauliza tu
Kama hata Uzunguni park hajaja basi tena babaa🤣🤣njoo basi hapa opposite na mount meru hotel..tule supu ya kongoro na mapumbu ya mbuzi..yaani hii winter leo nakula sishibi..
Ngoja mkuu nitakucheki pm unipe maelekezo vizuri nataka nimpeleke jj akale vitu bora na sio bora vitu, na machimbo ya kitimoto maana hiyo ndiyo balaakitimoto hawana man...
ila nimekula sehem nyingi sana..
hapo na KIPONG nawakubali sana.
wapishi wao wametulia sana asee!!
eneo pia ni zuri panapendeza sana.unakula huku mziki laini unakusindikiza na msosi..
halafu bei yao ni rafiki sana.
ukitaka chimbo lingine zuri la bei rahisi lakini chakula kitamu sana.
KWA DAUD pale ngarenaro kwenye mizani kwa nyuma yake!iko pilau mbuzi pale na ugali mnavo matata sana.