LGE2024 Arusha: CHADEMA yatangaza Maandamano kupinga Ukiukwaji wa Taratibu za Uandikishaji

LGE2024 Arusha: CHADEMA yatangaza Maandamano kupinga Ukiukwaji wa Taratibu za Uandikishaji

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Taarifa yao waliyoisambaza kwa vyombo vya Habari hii hapa

Maandamano ya amani Jimbo la Arusha mjini ya kupinga ukiukwaji wa taratibu na kanuni kwenye zoezi la uandikishaji wa daftari la wapiga kura la uchaguzi wa serikali za mitaa.

Maandamano yataanzia Kata ya SEKEI eneo la Philips na kuishia Kata ya LEVOLOSI Viwanja vya Kilombero, kupitia Sanawari hadi mianzini kushukia Stand kubwa ya mabasi kupitia Mnara wa Mwenge kuzunguka kupitia Shule ya Msingi Meru, kupitia Kituo cha polisi Kati hadi mzunguko zilipo Ofisi za Mkuu wa Mkoa na Wilaya kushuka hadi barabara ya Uhuru kwa kupitia goliondoi road kunyoa nayo hadi Barabara ya Sokoine na kuingia viwanja vya Kilombero tutakapofanya Mkutano wa hadhara.

Soma Pia: CHADEMA: Uandikishaji wa Majina Uchaguzi Serikali za Mitaa una kasoro nyingi

Screenshot_2024-10-15-22-45-55-1.png
 
Taarifa yao waliyoisambaza kwa vyombo vya Habari hii hapa

Maandamano ya amani Jimbo la Arusha mjini ya kupinga ukiukwaji wa taratibu na kanuni kwenye zoezi la uandikishaji wa daftari la wapiga kura la uchaguzi wa serikali za mitaa.

Maandamano yataanzia Kata ya SEKEI eneo la Philips na kuishia Kata ya LEVOLOSI Viwanja vya Kilombero, kupitia Sanawari hadi mianzini kushukia Stand kubwa ya mabasi kupitia Mnara wa Mwenge kuzunguka kupitia Shule ya Msingi Meru, kupitia Kituo cha polisi Kati hadi mzunguko zilipo Ofisi za Mkuu wa Mkoa na Wilaya kushuka hadi barabara ya Uhuru kwa kupitia goliondoi road kunyoa nayo hadi Barabara ya Sokoine na kuingia viwanja vya Kilombero tutakapofanya Mkutano wa hadhara.

Soma Pia: CHADEMA: Uandikishaji wa Majina Uchaguzi Serikali za Mitaa una kasoro nyingi

yatafanyika Dec.25,2024, kuanzia saa1 asubuhi right?🐒

kile kituo cha huduma kwa wateja cha chadema kuhusu zoezi la uandikishaji kimeshindwa kazi sio? 🤣
 
Ile kauli ya waziri Mohamed Mchengerwa ndiyo hamira (catalyst) ya kuinua maandamano Arusha :

 
Ile kauli ya waziri Mohamed Mchengerwa ndiyo hamira (catalyst) ya kuinua maandamano Arusha :

Huyu ndio Waziri wa Tamisemi!
 
Mbona yamekwisha feli hata kabla hayajaanza.
Hawakujifunza chochote toka kwa yale ya CHADEMA kuelekea Mnazi Mmoja?
Au kwa nini wasinge wauliza majirani zao hapo Ngorongoro wao walifanikisha ya kwao kwa njia zipi?

Kwa nini watu hawataki kuamini kwamba CCM imepania kwelikweli kulazimisha kuitawala hii nchi kwa mabavu?

Hebu Kwanza: Kumbe ni Lemma anaongoza hayo maandamano. Ni kipi hasa kinacho mfanya afikiri waTanzania wa Arusha ni tofauti na wale waliopo Dar?

Wakati huu viongozi wote wa CHADEMA wangekuwa wametambua kwamba maandamano siyo njhia sahihi inayo waamusha akili waTanzania.
Ni muhimu watafute njia mbadala wa kuwahusisha wananchi katika kupinga maovu ya CCM.
 
Taarifa yao waliyoisambaza kwa vyombo vya Habari hii hapa

Maandamano ya amani Jimbo la Arusha mjini ya kupinga ukiukwaji wa taratibu na kanuni kwenye zoezi la uandikishaji wa daftari la wapiga kura la uchaguzi wa serikali za mitaa.

Maandamano yataanzia Kata ya SEKEI eneo la Philips na kuishia Kata ya LEVOLOSI Viwanja vya Kilombero, kupitia Sanawari hadi mianzini kushukia Stand kubwa ya mabasi kupitia Mnara wa Mwenge kuzunguka kupitia Shule ya Msingi Meru, kupitia Kituo cha polisi Kati hadi mzunguko zilipo Ofisi za Mkuu wa Mkoa na Wilaya kushuka hadi barabara ya Uhuru kwa kupitia goliondoi road kunyoa nayo hadi Barabara ya Sokoine na kuingia viwanja vya Kilombero tutakapofanya Mkutano wa hadhara.

Soma Pia: CHADEMA: Uandikishaji wa Majina Uchaguzi Serikali za Mitaa una kasoro nyingi

Yanafanyika tarehe Ngapi ? Mnaweka Tangazo bila kulisoma au
 
Haya ni maandamano haramu yenye nia ovu. Ilitakiwa mtoke Phillips hadi Mianzini mshuke hadi roundabout ya Florida kisha mkunje kulia na kunyooka hado Kilombero. Hii kuanza kwenda stendi kuu, kwa mkuu wa mkoa kisha Uhuru road ni kusababisha kero isiyo ya lazima. Nitashangaa sana polisi wakiruhusu haya maandamano ya kihuni.
 
Taarifa yao waliyoisambaza kwa vyombo vya Habari hii hapa

Maandamano ya amani Jimbo la Arusha mjini ya kupinga ukiukwaji wa taratibu na kanuni kwenye zoezi la uandikishaji wa daftari la wapiga kura la uchaguzi wa serikali za mitaa.

Maandamano yataanzia Kata ya SEKEI eneo la Philips na kuishia Kata ya LEVOLOSI Viwanja vya Kilombero, kupitia Sanawari hadi mianzini kushukia Stand kubwa ya mabasi kupitia Mnara wa Mwenge kuzunguka kupitia Shule ya Msingi Meru, kupitia Kituo cha polisi Kati hadi mzunguko zilipo Ofisi za Mkuu wa Mkoa na Wilaya kushuka hadi barabara ya Uhuru kwa kupitia goliondoi road kunyoa nayo hadi Barabara ya Sokoine na kuingia viwanja vya Kilombero tutakapofanya Mkutano wa hadhara.

Soma Pia: CHADEMA: Uandikishaji wa Majina Uchaguzi Serikali za Mitaa una kasoro nyingi

Hayo mambo ndio inayoyataka lakini kujipanga na uchaguzi hakuna!
 
Kama KANU is no morę in Kenya hata CCM mtaondoka tuu, wanachofanya ni kujiongezea kesi tuu, ushahidi tunaendelea kukusanya
KANU ilikuwa na ukabila mwingi tofauti na CCM yenye sapoti nchi nzima. Kufa kwa CCM ni hadi kutokee mpasuko ndani ya chama. Na baada ya kunusurika mwaka 2015 ilijifunza sana hivyo kosa halitarudiwa. Hizo dua zako elekeza kwenye mambo mengine.
 
Haya ni maandamano haramu yenye nia ovu. Ilitakiwa mtoke Phillips hadi Mianzini mshuke hadi roundabout ya Florida kisha mkunje kulia na kunyooka hado Kilombero. Hii kuanza kwenda stendi kuu, kwa mkuu wa mkoa kisha Uhuru road ni kusababisha kero isiyo ya lazima. Nitashangaa sana polisi wakiruhusu haya maandamano ya kihuni.
Mkuu haramu kivipi?? Wewe shauri kuhusu njia ila sio kuharamisha kilicho halali.
 
Back
Top Bottom