Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #41
😆😆😆😆VITA NDIYO SULUHISHO.(Civil war in Tanzania is the basic need)
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😆😆😆😆VITA NDIYO SULUHISHO.(Civil war in Tanzania is the basic need)
Ataishia kujitokeza Mbowe na mtoto wakeTaarifa yao waliyoisambaza kwa vyombo vya Habari hii hapa
Maandamano ya amani Jimbo la Arusha mjini ya kupinga ukiukwaji wa taratibu na kanuni kwenye zoezi la uandikishaji wa daftari la wapiga kura la uchaguzi wa serikali za mitaa.
Maandamano yataanzia Kata ya SEKEI eneo la Philips na kuishia Kata ya LEVOLOSI Viwanja vya Kilombero, kupitia Sanawari hadi mianzini kushukia Stand kubwa ya mabasi kupitia Mnara wa Mwenge kuzunguka kupitia Shule ya Msingi Meru, kupitia Kituo cha polisi Kati hadi mzunguko zilipo Ofisi za Mkuu wa Mkoa na Wilaya kushuka hadi barabara ya Uhuru kwa kupitia goliondoi road kunyoa nayo hadi Barabara ya Sokoine na kuingia viwanja vya Kilombero tutakapofanya Mkutano wa hadhara.
Soma Pia: CHADEMA: Uandikishaji wa Majina Uchaguzi Serikali za Mitaa una kasoro nyingi
HIVI BADO MNA NIANA MAANDAMANO TU KWANI YEPI MLIFANYA MKAFANIKIWA?Taarifa yao waliyoisambaza kwa vyombo vya Habari hii hapa
Maandamano ya amani Jimbo la Arusha mjini ya kupinga ukiukwaji wa taratibu na kanuni kwenye zoezi la uandikishaji wa daftari la wapiga kura la uchaguzi wa serikali za mitaa.
Maandamano yataanzia Kata ya SEKEI eneo la Philips na kuishia Kata ya LEVOLOSI Viwanja vya Kilombero, kupitia Sanawari hadi mianzini kushukia Stand kubwa ya mabasi kupitia Mnara wa Mwenge kuzunguka kupitia Shule ya Msingi Meru, kupitia Kituo cha polisi Kati hadi mzunguko zilipo Ofisi za Mkuu wa Mkoa na Wilaya kushuka hadi barabara ya Uhuru kwa kupitia goliondoi road kunyoa nayo hadi Barabara ya Sokoine na kuingia viwanja vya Kilombero tutakapofanya Mkutano wa hadhara.
Soma Pia: CHADEMA: Uandikishaji wa Majina Uchaguzi Serikali za Mitaa una kasoro nyingi
hawana hoja ndiyo maana wao ni wavurugaji tuHayo mambo ndio inayoyataka lakini kujipanga na uchaguzi hakuna!
Hilo haliwezekani. Waasisi waliona mbali kuhusu wapumbavu kama wewe mnaowaza ushenzi ndo maana waliamua kuwachanganya watu na kuua ukabila. Mhaya utamkuta Mbamba bay kaoa huko huku Mngoni akiwa anaishi Karagwe kwa raha zake. Hiyo Civil War mkapigane kwenye lile pagale lenu la Mikocheni.VITA NDIYO SULUHISHO.(Civil war in Tanzania is the basic need)
Tunataka kushughulikia watu kama wewe ambao mko kwenye dimbwi la giza na ujima.Hilo haliwezekani. Waasisi waliona mbali kuhusu wapumbavu kama wewe mnaowaza ushenzi ndo maana waliamua kuwachanganya watu na kuua ukabila. Mhaya utamkuta Mbamba bay kaoa huko huku Mngoni akiwa anaishi Karagwe kwa raha zake. Hiyo Civil War mkapigane kwenye lile pagale lenu la Mikocheni.
Kadili na mamako kwanzaTunataka kushughulikia watu kama wewe ambao mko kwenye dimbwi la giza na ujima.
Tunaanza na wewe ili uwe mstaarabu.Kadili na mamako kwanza
Duuh,Wote wale wa Landrover ni Wageni tu, Ni mbili tu zilikuwa za Wenyeji tena ni za Polisi