LGE2024 Arusha: CHADEMA yatangaza Maandamano kupinga Ukiukwaji wa Taratibu za Uandikishaji

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Ataishia kujitokeza Mbowe na mtoto wake
 
HIVI BADO MNA NIANA MAANDAMANO TU KWANI YEPI MLIFANYA MKAFANIKIWA?
 
VITA NDIYO SULUHISHO.(Civil war in Tanzania is the basic need)
Hilo haliwezekani. Waasisi waliona mbali kuhusu wapumbavu kama wewe mnaowaza ushenzi ndo maana waliamua kuwachanganya watu na kuua ukabila. Mhaya utamkuta Mbamba bay kaoa huko huku Mngoni akiwa anaishi Karagwe kwa raha zake. Hiyo Civil War mkapigane kwenye lile pagale lenu la Mikocheni.
 
Tunataka kushughulikia watu kama wewe ambao mko kwenye dimbwi la giza na ujima.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…