Boran Jakutay
Senior Member
- Apr 8, 2023
- 110
- 259
Wakazi wa Ngorongoro wameeleza kuishi kwa mashaka katika makazi yao kutokana na uwepo wa wanyama wakali ambao wamekuwa wakila mifugo yao.
Uwepo wa wanyama kama Chui na Fisi unatajwa pia kuwatia hofu wazazi pindi watoto wao wanapoenda na kurudi shuleni ambako hulazimika kutembea umbali kati ya km 5 hadi 15.
Wakati hayo yakijiri Ngorongoro, katika Kijiji cha Msomera ambapo wananchi zaidi ya 500 kutoka Ngorongoro waliohamia kwa hiari hofu ya wanyama haipo tena .
Kutokana na hali hiyo kunatajwa uwepo wa Ombwe kwa kundi la wananchi katika eneo la Hifadhi ya Ngorogoro kuhama na kwenda sehemu watakayokuwa huru bila hofu ya wanyama wakali.
CHANZO: Clouds TV
Uwepo wa wanyama kama Chui na Fisi unatajwa pia kuwatia hofu wazazi pindi watoto wao wanapoenda na kurudi shuleni ambako hulazimika kutembea umbali kati ya km 5 hadi 15.
Wakati hayo yakijiri Ngorongoro, katika Kijiji cha Msomera ambapo wananchi zaidi ya 500 kutoka Ngorongoro waliohamia kwa hiari hofu ya wanyama haipo tena .
Kutokana na hali hiyo kunatajwa uwepo wa Ombwe kwa kundi la wananchi katika eneo la Hifadhi ya Ngorogoro kuhama na kwenda sehemu watakayokuwa huru bila hofu ya wanyama wakali.
CHANZO: Clouds TV