Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba, Yule Mwamba wa Siasa kwenye eneo la Maziwa Makuu, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chadema, Chama cha siasa kinachotajwa kuungwa mkono na Watanzania karibu wote, anaongoza kikao cha Mashauriano cha Chama Chake huko Arusha.
Ifahamike kwamba Mbowe ni Mjumbe wa vikao hivyo kwa vile kijiografia Hai anakotokea ni sehemu ya kanda hiyo
Kwa lugha rahisi, lengo la Vikao hivi ni kupanga mipango na mikakati ya kukisogeza chama chao mbele zaidi.
Pia soma:
- Kuelekea 2025 - Mbowe: Kuna Watu wanasema Nina mgogoro na Tundu Lissu nawaambia Watasubiri sana, Chopa inaanza operation Karatu na Nitakuwa na Tundu Lissu!
Ifahamike kwamba Mbowe ni Mjumbe wa vikao hivyo kwa vile kijiografia Hai anakotokea ni sehemu ya kanda hiyo
Kwa lugha rahisi, lengo la Vikao hivi ni kupanga mipango na mikakati ya kukisogeza chama chao mbele zaidi.
Pia soma:
- Kuelekea 2025 - Mbowe: Kuna Watu wanasema Nina mgogoro na Tundu Lissu nawaambia Watasubiri sana, Chopa inaanza operation Karatu na Nitakuwa na Tundu Lissu!