Pre GE2025 Arusha: Freeman Mbowe aongoza Vikao vya Mashauriano Kanda ya Kaskazini

Pre GE2025 Arusha: Freeman Mbowe aongoza Vikao vya Mashauriano Kanda ya Kaskazini

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba, Yule Mwamba wa Siasa kwenye eneo la Maziwa Makuu, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chadema, Chama cha siasa kinachotajwa kuungwa mkono na Watanzania karibu wote, anaongoza kikao cha Mashauriano cha Chama Chake huko Arusha.

Ifahamike kwamba Mbowe ni Mjumbe wa vikao hivyo kwa vile kijiografia Hai anakotokea ni sehemu ya kanda hiyo

Screenshot_2024-06-16-17-19-24-1.png
Screenshot_2024-06-16-17-19-10-1.png

Kwa lugha rahisi, lengo la Vikao hivi ni kupanga mipango na mikakati ya kukisogeza chama chao mbele zaidi.

Pia soma:
- Kuelekea 2025 - Mbowe: Kuna Watu wanasema Nina mgogoro na Tundu Lissu nawaambia Watasubiri sana, Chopa inaanza operation Karatu na Nitakuwa na Tundu Lissu!
 
Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba, Yule Mwamba wa Siasa kwenye eneo la Maziwa Makuu, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chadema, Chama cha siasa kinachotajwa kuungwa mkono na Watanzania karibu wote, anaongoza kikao cha Mashauriano cha Chama Chake huko Arusha..
Ohoo kilikwama kumbe ni vyema sana, yuko wapi makamu apande helkopta!
 
Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba, Yule Mwamba wa Siasa kwenye eneo la Maziwa Makuu, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chadema, Chama cha siasa kinachotajwa kuungwa mkono na Watanzania karibu wote, anaongoza kikao cha Mashauriano cha Chama Chake huko Arusha.

Ifahamike kwamba Mbowe ni Mjumbe wa vikao hivyo kwa vile kijiografia Hai anakotokea ni sehemu ya kanda hiyo

View attachment 3018797View attachment 3018798

Kwa lugha rahisi, lengo la Vikao hivi ni kupanga mipango na mikakati ya kukisogeza chama chao mbele zaidi.
Cc.Tlaatlaaah
 
Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba, Yule Mwamba wa Siasa kwenye eneo la Maziwa Makuu, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chadema, Chama cha siasa kinachotajwa kuungwa mkono na Watanzania karibu wote, anaongoza kikao cha Mashauriano cha Chama Chake huko Arusha.

Ifahamike kwamba Mbowe ni Mjumbe wa vikao hivyo kwa vile kijiografia Hai anakotokea ni sehemu ya kanda hiyo

View attachment 3018797View attachment 3018798

Kwa lugha rahisi, lengo la Vikao hivi ni kupanga mipango na mikakati ya kukisogeza chama chao mbele zaidi.
Nafurahi sana nikiwaona hivi tofauti na walioishiwa hoja wanavyotuchonganisha nanyi! Chapeni kazi
 
Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba, Yule Mwamba wa Siasa kwenye eneo la Maziwa Makuu, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chadema, Chama cha siasa kinachotajwa kuungwa mkono na Watanzania karibu wote, anaongoza kikao cha Mashauriano cha Chama Chake huko Arusha.

Ifahamike kwamba Mbowe ni Mjumbe wa vikao hivyo kwa vile kijiografia Hai anakotokea ni sehemu ya kanda hiyo

View attachment 3018797View attachment 3018798

Kwa lugha rahisi, lengo la Vikao hivi ni kupanga mipango na mikakati ya kukisogeza chama chao mbele zaidi.
Tlaatlaah
 
Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba, Yule Mwamba wa Siasa kwenye eneo la Maziwa Makuu, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chadema, Chama cha siasa kinachotajwa kuungwa mkono na Watanzania karibu wote, anaongoza kikao cha Mashauriano cha Chama Chake huko Arusha.

Ifahamike kwamba Mbowe ni Mjumbe wa vikao hivyo kwa vile kijiografia Hai anakotokea ni sehemu ya kanda hiyo

View attachment 3018797View attachment 3018798

Kwa lugha rahisi, lengo la Vikao hivi ni kupanga mipango na mikakati ya kukisogeza chama chao mbele zaidi.
Huyu Kigaila ni mgogo huko Arusha kafata nini?
 
Back
Top Bottom