Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 24,665
- 25,388
shukran sana kamanda kwa kunitonya 🐒
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
shukran sana kamanda kwa kunitonya 🐒
Lema ndie Mwenyekiti ajae chadema.Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba, Yule Mwamba wa Siasa kwenye eneo la Maziwa Makuu, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chadema, Chama cha siasa kinachotajwa kuungwa mkono na Watanzania karibu wote, anaongoza kikao cha Mashauriano cha Chama Chake huko Arusha...
HayaLema ndie Mwenyekiti ajae chadema,
Hata mimi nilitaka kuuliza hili. Halafu hicho kikao kama cha harusiHuyu Kigaila ni mgogo huko Arusha kafata nini?
Vikao vyote vya namna hiyo vinatazamwa na Makao Makuu, Hata kama Mbowe yupo lakini ana conflict of interest, maana naye ni mjumbe wa kikaoHata mimi nilitaka kuuliza hili. Halafu hicho kikao kama cha harusi
Hakina tofauti na kikao cha harusiVikao vyote vya namna hiyo vinatazamwa na Makao Makuu, Hata kama Mbowe yupo lakini ana conflict of interest, maana naye ni mjumbe wa kikao
CCM wana kitengo cha propaganda na machungu pia mauaji, hichi kitengo Ni balaaSasa Mbona Lema yupo, si CCM wanasema ni mfuasi wa Lissu na Lissu hampendi Mbowe.
Mimi CCM wananichanganya.
Ni kweliCCM wana kitengo cha propaganda na machungu pia mauaji, hichi kitengo Ni balaa
Kazi za uzushi za,Luca,Tlaatlaaah na wazushi anuai😝Mbona tumesikia Lemma anakwenda CCM?
Niliacha kabisa kufuatilia mambo ya chadema,Kwa Sasa hivi sifuatilii kabisa na SITA kaa nifuatilie Tena maishani mwangu.Hakuna mgogoro wowote Chadema, usisikilize hao Kilichopo ni joto la Uchaguzi wa ndani
Mimi ni chadema na kasi . I am very much concerned. It is only chadema that can change Tanzania into a well-being stateYawezekana ila si kama wanavyofikiria wengine
HakikaMimi ni chadema na kasi . I am very much concerned. It is only chadema that can change Tanzania into a well-being state
AmenNiliacha kabisa kufuatilia mambo ya chadema,Kwa Sasa hivi sifuatilii kabisa na SITA kaa nifuatilie Tena maishani mwangu.
Sisomi habari zao wala sitafuti habari zao,sio Mimi peke yangu,Bali niko na kundi kubwa mno la watu,tumeamua hatujishughulishi kabisa na mambo ya CDM kuanzia mikutano,washa,makongamano,semina na matukio Yao mengine.
Kitu ambacho tumekubaliana ni kusubiri siku za uchaguzi TU, na kuwapa CHADEMA kura zote za NDIO kuanzia serikali za mitaa, Udiwani,Ubunge na Urais.
Hatuhitaji kusikiliza chochote Tena,kwani Elimu waliyotupa chadema imetuingia na inatutosha kabisa.
Watu wapya ndio wataifatilia CHADEMA ili wapate elimu,lkn sisi tumekwisha hitimu.
CHADEMA,✔️
Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba, Yule Mwamba wa Siasa kwenye eneo la Maziwa Makuu, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chadema, Chama cha siasa kinachotajwa ...
Tuombe mungu na iwe hivyo ili watanzania wawezi kuamini kuwa sio rahisi kuacha urithi kwa jiraniLema ndie Mwenyekiti ajae chadema,
"I cannot let my country go to the dogs" Mwl. Julius Kambarage Nyerere.Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba, Yule Mwamba wa Siasa kwenye eneo la Maziwa Makuu, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chadema, Chama cha siasa kinachotajwa kuungwa mkono na Watanzania karibu wote, anaongoza kikao cha Mashauriano cha Chama Chake huko Arusha.
Ifahamike kwamba Mbowe ni Mjumbe wa vikao hivyo kwa vile kijiografia Hai anakotokea ni sehemu ya kanda hiyo
Kwa lugha rahisi, lengo la Vikao hivi ni kupanga mipango na mikakati ya kukisogeza chama chao mbele zaidi.
Hukumuelewa Nyerere"I cannot let my country go to the dogs" Mwl. Julius Kambarage Nyerere.