Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Hakuna mgogoro wowote Chadema, usisikilize hao Kilichopo ni joto la Uchaguzi wa ndaniSasa Mbona Lema yupo,si CCM wanasema ni mfuasi wa Lissu na Lissu hampendi Mbowe.
Mimi CCM wananichanganya.
Picha ya pili Mbowe hayuko happy!Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba, Yule Mwamba wa Siasa kwenye eneo la Maziwa Makuu, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chadema...
Yawezekana ila si kama wanavyofikiria wenginePich ya pili Mbowe hayuko happy!
Ohoo kilikwama kumbe ni vyema sana, yuko wapi makamu apande helkopta!Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba, Yule Mwamba wa Siasa kwenye eneo la Maziwa Makuu, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chadema, Chama cha siasa kinachotajwa kuungwa mkono na Watanzania karibu wote, anaongoza kikao cha Mashauriano cha Chama Chake huko Arusha..
Cc.TlaatlaaahTaarifa ikufikie popote ulipo kwamba, Yule Mwamba wa Siasa kwenye eneo la Maziwa Makuu, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chadema, Chama cha siasa kinachotajwa kuungwa mkono na Watanzania karibu wote, anaongoza kikao cha Mashauriano cha Chama Chake huko Arusha.
Ifahamike kwamba Mbowe ni Mjumbe wa vikao hivyo kwa vile kijiografia Hai anakotokea ni sehemu ya kanda hiyo
View attachment 3018797View attachment 3018798
Kwa lugha rahisi, lengo la Vikao hivi ni kupanga mipango na mikakati ya kukisogeza chama chao mbele zaidi.
Nafurahi sana nikiwaona hivi tofauti na walioishiwa hoja wanavyotuchonganisha nanyi! Chapeni kaziTaarifa ikufikie popote ulipo kwamba, Yule Mwamba wa Siasa kwenye eneo la Maziwa Makuu, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chadema, Chama cha siasa kinachotajwa kuungwa mkono na Watanzania karibu wote, anaongoza kikao cha Mashauriano cha Chama Chake huko Arusha.
Ifahamike kwamba Mbowe ni Mjumbe wa vikao hivyo kwa vile kijiografia Hai anakotokea ni sehemu ya kanda hiyo
View attachment 3018797View attachment 3018798
Kwa lugha rahisi, lengo la Vikao hivi ni kupanga mipango na mikakati ya kukisogeza chama chao mbele zaidi.
Sasa si ndiyo vizuri kwenu ccm au vipi?chadema hii chaguzi mtangukia pua hamtoamini wallah
TlaatlaahTaarifa ikufikie popote ulipo kwamba, Yule Mwamba wa Siasa kwenye eneo la Maziwa Makuu, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chadema, Chama cha siasa kinachotajwa kuungwa mkono na Watanzania karibu wote, anaongoza kikao cha Mashauriano cha Chama Chake huko Arusha.
Ifahamike kwamba Mbowe ni Mjumbe wa vikao hivyo kwa vile kijiografia Hai anakotokea ni sehemu ya kanda hiyo
View attachment 3018797View attachment 3018798
Kwa lugha rahisi, lengo la Vikao hivi ni kupanga mipango na mikakati ya kukisogeza chama chao mbele zaidi.
Huyu Kigaila ni mgogo huko Arusha kafata nini?Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba, Yule Mwamba wa Siasa kwenye eneo la Maziwa Makuu, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chadema, Chama cha siasa kinachotajwa kuungwa mkono na Watanzania karibu wote, anaongoza kikao cha Mashauriano cha Chama Chake huko Arusha.
Ifahamike kwamba Mbowe ni Mjumbe wa vikao hivyo kwa vile kijiografia Hai anakotokea ni sehemu ya kanda hiyo
View attachment 3018797View attachment 3018798
Kwa lugha rahisi, lengo la Vikao hivi ni kupanga mipango na mikakati ya kukisogeza chama chao mbele zaidi.
WachonganishiSasa Mbona Lema yupo,si CCM wanasema ni mfuasi wa Lissu na Lissu hampendi Mbowe.
Mimi CCM wananichanganya.
Ni kiongozi wa Kitaifa ametumwa na ofisi ya Katibu Mkuu kuwakilisha ChamaHuyu Kigaila ni mgogo huko Arusha kafata nini?