LGE2024 Arusha: Godbless Lema awatimua Maofisa wa TAKUKURU kwenye semina ya Wagombea wa CHADEMA, adai Wameacha uozo ufanywe kwenye Uandikishaji

LGE2024 Arusha: Godbless Lema awatimua Maofisa wa TAKUKURU kwenye semina ya Wagombea wa CHADEMA, adai Wameacha uozo ufanywe kwenye Uandikishaji

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Nabii wa Mungu, Godbless Lema, leo amekitendea haki Cheo Chake cha Mwenyekiti wa Kanda ya Kaskazini, baada kuwatimulia mbali Maofisa wa TAKUKURU waliohudhuria semina ya Wagombea wa Uenyekiti wa Serikali za Mitaa.

Nabii Lema ambaye Unabii wake juu ya Mambo kadhaa ya Tanzania Umetimia na kupitiliza, amewaambia Maofisa hao wa TAKUKURU kwamba Wameacha uozo kwenye Uandikishaji uliofanywa na viongozi wa serikali halafu wanakimbilia kuleta pua zao kwenye Semina zisizo na Makando kando za Chadema.

View attachment 3146379View attachment 3146382View attachment 3146387

Binafsi Naunga Mkono Jambo hili

=====

Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Godbless Lema amewafukuza maofisa watatu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa nchini (Takukuru) kwenye semina ya wagombea wa wenyeviti wa mitaa wa chama hicho.

Lema aliyekuwa mgeni rasmi leo Novemba 7, 2024 katika mkutano huo jijini Arusha, baada ya kuingia ukumbini na kupata utambulisho kuhusu uwepo wa maofisa wa Takukuru waliokuwa meza kuu, alisimama na kusema hakubaliani na uwepo wao.

"Sitakubali muongee na wajumbe wetu wakati mmeshindwa kuwachukulia hatua za kisheria viongozi wa serikali wakiwemo wasimamizi wa uchaguzi na wasaidizi wao pia waandikishaji wa daftari la wapiga kura kwa vitendo walivyokuwa wanafanya hivyo naombeni muondoke hatuwahitaji hapa,”alisema Lema.

Hata hivyo maofisa hao waliokuwa wamekaa meza za mbele kwa wageni rasmi hawakunyanyuka hadi wasimamizi wa ulinzi wa semina hiyo walivyowafuata na kuwanyanyua kwa nguvu ndipo wakaamua kutoka huku wakizomewa na ukumbi mzima.

Akizungumzia hali hiyo, kwa njia ya simu Kamanda wa Takukuru Mkoa wa Arusha, Zawadi Ngailo amesema suala hilo si jema lakini haliwezi kuzuia elimu ya rushwa kuwafikia wananchi.

Soma zaidi katika tovuti ya Mwananchi
Yupo sahihi. Wameacha kuenda kwenye wazee wa mlungula wanakuja huku. Hata aibu hawaoni. Hao wazee wa rushwa wenyewe makada ya mboga mboga.
 
Inachekesha sana lakini kuona focus ya makosa ya kila aina inaelekezwa kwenye chama kimoja, kisicho na uwezo wowote wa maana.

Kama kuna makosa dhidi ya watanzania, kama rushwa, wizi wa Mali ya umma, matumizi mabaya ya madaraka, na mengine mengi, wewe unafikiri Takukuru wangeshinda ofisi za chama gani?
Wazee wa rushwa wenyewe makada wa mboga mboga.
 
Unapoona Polisi au Maafisa wa Takukuru wako Mahali fulani Basi ujue Wako pale Kwa mujibu wa sheria na si kujipendekeza

Kiongozi wa Chama Cha siasa hata ingekuwa CCM hawana Mamlaka ya kuzuia Watendaji wa Serikali kutimiza majukumu yao

Vyama vya siasa vinaendeshwa kwa Kodi za wananchi hivyo Takukuru ni Lazima wawafuatilie Kwa karibu

Jumaa Karim 😄
Ule ulikuwa mkutao wa ndani wa chama, haana mamlaka ya kuja bila kualikwa. kama wana issu na rushwa, waje officially and specific for that!
 
Ni maneno ya kutoa kichwani kwako tu na kujiaminisha.

Hata alipofariki wale waliokuwa wanajipanga barabarani na kumlilia aliwapangq si ndio.

Magufuli alikuwa baraka ya muda mfupi Tanzania. The good don’t last.
Baraka gani wewe..! uharibifu ni baraka??
 
Nabii wa Mungu, Godbless Lema, leo amekitendea haki Cheo Chake cha Mwenyekiti wa Kanda ya Kaskazini, baada kuwatimulia mbali Maofisa wa TAKUKURU waliohudhuria semina ya Wagombea wa Uenyekiti wa Serikali za Mitaa.

Nabii Lema ambaye Unabii wake juu ya Mambo kadhaa ya Tanzania Umetimia na kupitiliza, amewaambia Maofisa hao wa TAKUKURU kwamba Wameacha uozo kwenye Uandikishaji uliofanywa na viongozi wa serikali halafu wanakimbilia kuleta pua zao kwenye Semina zisizo na Makando kando za Chadema.

View attachment 3146379View attachment 3146382View attachment 3146387

Binafsi Naunga Mkono Jambo hili

=====

Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Godbless Lema amewafukuza maofisa watatu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa nchini (Takukuru) kwenye semina ya wagombea wa wenyeviti wa mitaa wa chama hicho.

Lema aliyekuwa mgeni rasmi leo Novemba 7, 2024 katika mkutano huo jijini Arusha, baada ya kuingia ukumbini na kupata utambulisho kuhusu uwepo wa maofisa wa Takukuru waliokuwa meza kuu, alisimama na kusema hakubaliani na uwepo wao.

"Sitakubali muongee na wajumbe wetu wakati mmeshindwa kuwachukulia hatua za kisheria viongozi wa serikali wakiwemo wasimamizi wa uchaguzi na wasaidizi wao pia waandikishaji wa daftari la wapiga kura kwa vitendo walivyokuwa wanafanya hivyo naombeni muondoke hatuwahitaji hapa,”alisema Lema.

Hata hivyo maofisa hao waliokuwa wamekaa meza za mbele kwa wageni rasmi hawakunyanyuka hadi wasimamizi wa ulinzi wa semina hiyo walivyowafuata na kuwanyanyua kwa nguvu ndipo wakaamua kutoka huku wakizomewa na ukumbi mzima.

Akizungumzia hali hiyo, kwa njia ya simu Kamanda wa Takukuru Mkoa wa Arusha, Zawadi Ngailo amesema suala hilo si jema lakini haliwezi kuzuia elimu ya rushwa kuwafikia wananchi.

Soma zaidi katika tovuti ya Mwananchi

SAFI SANA .... Rushwa zinafanyika wazi wazi hawazifanyii kazi kwa vile ni MaCCM wanahusika halafu leo wanakuja kujifanya wanatoa elimu ....Rubbish.
 
Hawana uwezo Raisi Samia anawatangwa mchana kweupe kwenye uchaguzi.

Sio kwamba Samia na CCM wanafanya kazi nzuri, ni kwamba CDM ni chama cha hovyo kisicho na mvuto.

Walichobakiza ni kulilia maandamano wanayolazimisha kupita sehemu zenye mikusanyiko ya watu, huku wakiombea vurugu zitokee katika harakati zao.

Ni wapuuzi tu ndio wanaweza kuwa wafuasi wa CDM,
Unatia aibu ukiwa upande gani?
 
Unatia aibu ukiwa upande gani?
Sio swala la kuchagua upande, CCM aina mpinzani.

Issue ni mama anatosha au la,

Vinginevyo hata CCM ikisimamisha mti na Lissu, mtu utashinda.

Kwanza hata hao CDM hawajampitisha Lissu kama mgombea wao; zaidi ya yeye mwenyewe kuji-promote.

Mpaka inabidi uelewe Boni-Yai ajiropokei tu zile ni kauli za Mbowe.
 
Sio swala la kuchagua upande, CCM aina mpinzani.

Issue ni mama anatosha au la,

Vinginevyo hata CCM ikisimamisha mti na Lissu, mtu utashinda.

Kwanza hata hao CDM hawajampitisha Lissu kama mgombea wao; zaidi ya yeye mwenyewe kuji-promote.

Mpaka inabidi uelewe Boni-Yai ajiropokei tu zile ni kauli za Mbowe.
watanzania wote wasiokubaliana na ccm ni wapinzani wa ccm..ni mjinga ndiye anaweza dhani vyama tofauti na ccm ndio wapinzani pekee wa ccm..kwani kiongozi lazima awe kwenye vyama vya siasa?
 
Nabii wa Mungu, Godbless Lema, leo amekitendea haki Cheo Chake cha Mwenyekiti wa Kanda ya Kaskazini, baada kuwatimulia mbali Maofisa wa TAKUKURU waliohudhuria semina ya Wagombea wa Uenyekiti wa Serikali za Mitaa.

Nabii Lema ambaye Unabii wake juu ya Mambo kadhaa ya Tanzania Umetimia na kupitiliza, amewaambia Maofisa hao wa TAKUKURU kwamba Wameacha uozo kwenye Uandikishaji uliofanywa na viongozi wa serikali halafu wanakimbilia kuleta pua zao kwenye Semina zisizo na Makando kando za Chadema.

View attachment 3146379View attachment 3146382View attachment 3146387

Binafsi Naunga Mkono Jambo hili

=====

Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Godbless Lema amewafukuza maofisa watatu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa nchini (Takukuru) kwenye semina ya wagombea wa wenyeviti wa mitaa wa chama hicho.

Lema aliyekuwa mgeni rasmi leo Novemba 7, 2024 katika mkutano huo jijini Arusha, baada ya kuingia ukumbini na kupata utambulisho kuhusu uwepo wa maofisa wa Takukuru waliokuwa meza kuu, alisimama na kusema hakubaliani na uwepo wao.

"Sitakubali muongee na wajumbe wetu wakati mmeshindwa kuwachukulia hatua za kisheria viongozi wa serikali wakiwemo wasimamizi wa uchaguzi na wasaidizi wao pia waandikishaji wa daftari la wapiga kura kwa vitendo walivyokuwa wanafanya hivyo naombeni muondoke hatuwahitaji hapa,”alisema Lema.

Hata hivyo maofisa hao waliokuwa wamekaa meza za mbele kwa wageni rasmi hawakunyanyuka hadi wasimamizi wa ulinzi wa semina hiyo walivyowafuata na kuwanyanyua kwa nguvu ndipo wakaamua kutoka huku wakizomewa na ukumbi mzima.

Akizungumzia hali hiyo, kwa njia ya simu Kamanda wa Takukuru Mkoa wa Arusha, Zawadi Ngailo amesema suala hilo si jema lakini haliwezi kuzuia elimu ya rushwa kuwafikia wananchi.

Soma zaidi katika tovuti ya Mwananchi
Nadhani hawa watu hawajui kazi yao. Imefikia hadi kuandikisha watoto wadogo, marehemu na hata wafungwa lakini wakakaa kimya wakisubiri amri toka juu. Lah!!! Hii nchi inatisha sana.
 
Maneno ya mwisho ya Lema ni kwamba kweny kura za umeya alishinda Msofe ila kwakua alikua anamuamin Kalisti bas akapewa cheo Kalisti mwishowe Kalisti akanunuliwa akawa mkuu wa wilaya... PUMBAVU sasa ndo demokrasia gan hiyo munayoiimba kila sku? Kumbe hata CDM ni wezi wa uchaguzi, SMH🙆‍♀️
 
Nabii wa Mungu, Godbless Lema, leo amekitendea haki Cheo Chake cha Mwenyekiti wa Kanda ya Kaskazini, baada kuwatimulia mbali Maofisa wa TAKUKURU waliohudhuria semina ya Wagombea wa Uenyekiti wa Serikali za Mitaa.

Nabii Lema ambaye Unabii wake juu ya Mambo kadhaa ya Tanzania Umetimia na kupitiliza, amewaambia Maofisa hao wa TAKUKURU kwamba Wameacha uozo kwenye Uandikishaji uliofanywa na viongozi wa serikali halafu wanakimbilia kuleta pua zao kwenye Semina zisizo na Makando kando za Chadema.

View attachment 3146379View attachment 3146382View attachment 3146387

Binafsi Naunga Mkono Jambo hili

=====

Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Godbless Lema amewafukuza maofisa watatu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa nchini (Takukuru) kwenye semina ya wagombea wa wenyeviti wa mitaa wa chama hicho.

Lema aliyekuwa mgeni rasmi leo Novemba 7, 2024 katika mkutano huo jijini Arusha, baada ya kuingia ukumbini na kupata utambulisho kuhusu uwepo wa maofisa wa Takukuru waliokuwa meza kuu, alisimama na kusema hakubaliani na uwepo wao.

"Sitakubali muongee na wajumbe wetu wakati mmeshindwa kuwachukulia hatua za kisheria viongozi wa serikali wakiwemo wasimamizi wa uchaguzi na wasaidizi wao pia waandikishaji wa daftari la wapiga kura kwa vitendo walivyokuwa wanafanya hivyo naombeni muondoke hatuwahitaji hapa,”alisema Lema.

Hata hivyo maofisa hao waliokuwa wamekaa meza za mbele kwa wageni rasmi hawakunyanyuka hadi wasimamizi wa ulinzi wa semina hiyo walivyowafuata na kuwanyanyua kwa nguvu ndipo wakaamua kutoka huku wakizomewa na ukumbi mzima.

Akizungumzia hali hiyo, kwa njia ya simu Kamanda wa Takukuru Mkoa wa Arusha, Zawadi Ngailo amesema suala hilo si jema lakini haliwezi kuzuia elimu ya rushwa kuwafikia wananchi.

Soma zaidi katika tovuti ya Mwananchi
Lema yuko sahihi 100%hizi taasisi za kutoa haki zime geuka matawi ya Ccm.
Yaana kama mahakama sidhani kama wao ndio huandika hukumu siku hizi. Maana Ukisikia kesi iko mahakamani inayo husu serikali ya Ccm huwa tayari tuna jua hukumu ita kuwaje
 
Back
Top Bottom