teledam
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 927
- 1,239
Mambo vipi wadau..
Hili halina ubishi kabisa,ukifika A-town utakutana na warembo wa sampuli zote yani dah kweli ni kama hili jiji limekuwa kivutio fulani cha watoto wote wazuri kutoka kona zote
Warefu kwa wafupi,weupe kwa weusi, nywele natural, vimodo aka vipotabo,saizi ya kati na vibonge wenye mishepu ya kuhongwa mishangingi yani acha kabisa mpaka leo sijaoa kwa sababu kila kukicha nakutana na vyuma tu[emoji39][emoji39] acha niendelee tu kula ujana nitaoa baadae
Hii haina maana kwamba mikoa ambayo siyo jirani na atown haina ma-queens[emoji23][emoji23] la hasha ila ni babati kondoa klm na arusha yenyewe ndo vinainogesha Ar kama hujawahi kufika fanya hima maana hawa totoz peke yake ni vivutio[emoji91] tosha
Hata kama una streess ukipita pita town unaeza jikuta unasahau kabisa mambo yanayokupa msongo..yaani full burudani kama upo ndani ya las vegas casino hapo Jollys
Karibuni wageni kwa utalii wa ndani
Hili halina ubishi kabisa,ukifika A-town utakutana na warembo wa sampuli zote yani dah kweli ni kama hili jiji limekuwa kivutio fulani cha watoto wote wazuri kutoka kona zote
Warefu kwa wafupi,weupe kwa weusi, nywele natural, vimodo aka vipotabo,saizi ya kati na vibonge wenye mishepu ya kuhongwa mishangingi yani acha kabisa mpaka leo sijaoa kwa sababu kila kukicha nakutana na vyuma tu[emoji39][emoji39] acha niendelee tu kula ujana nitaoa baadae
Hii haina maana kwamba mikoa ambayo siyo jirani na atown haina ma-queens[emoji23][emoji23] la hasha ila ni babati kondoa klm na arusha yenyewe ndo vinainogesha Ar kama hujawahi kufika fanya hima maana hawa totoz peke yake ni vivutio[emoji91] tosha
Hata kama una streess ukipita pita town unaeza jikuta unasahau kabisa mambo yanayokupa msongo..yaani full burudani kama upo ndani ya las vegas casino hapo Jollys
Karibuni wageni kwa utalii wa ndani