Tetesi: Arusha: Kada wa CHADEMA na aliyekuwa mgombea wa Uenyekiti wa mtaa kwa kupitia chama hicho apotea

Tetesi: Arusha: Kada wa CHADEMA na aliyekuwa mgombea wa Uenyekiti wa mtaa kwa kupitia chama hicho apotea

Bushmamy

JF-Expert Member
Joined
Aug 18, 2019
Posts
9,140
Reaction score
15,963
Aliyekuwa mgombea wa uenyekiti wa mtaa wa Engosengiu kata ya Sinoni jijini Arusha
kwa tiketi ya chadema ndugu Damiani amepotea na hajulikani aliko hadi sasa.

Siku chache kabla ya uchaguzi wa serikali za mitaa gari za polisi zilionekana zikizunguka mara kadhaa katika mitaa anayoishi.

Hata hivyo tangu wakati huo Bwana Damian hajaonekana hadi leo na hajulikani alipo.
 
wewe hizo gari za police uliziona zikizunguka zunguka ndugu?
 
Aliyekuwa mgombea wa uenyekiti wa mtaa wa Engosengiu kata ya Sinoni jijini Arusha
kwa tiketi ya chadema ndugu Damiani amepotea na hajulikani aliko hadi sasa.

Siku chache kabla ya uchaguzi wa serikali za mitaa gari za polisi zilionekana zikizunguka mara kadhaa katika mitaa anayoishi.

Hata hivyo tangu wakati huo Bwana Damian hajaonekana hadi leo na hajulikani alipo.
Sasa hivi ni jino kwa jino, akipotea wa Chadema lazima apotezwe wa CCM, huyo vijana wa Mafwele wameshapita naye iliyobaki na nyie huko jibunimapogo hadi kieleweke.
 
Back
Top Bottom