Arusha kiboko ya wanawake wazuri Tanzania

Arusha kiboko ya wanawake wazuri Tanzania

Wadau,nimebahatika kufika mikoa mingi sana Tanzania but kwa Arusha nimezima fegi kuna wanawake wazuri sana wana rangi flani hivi so natural wana figure nzuri,halafu waelewa na wajanja tofauti na wanawake wa Dar wengi wana uzuri wa kujitengeneza na wezi wezi tu,wanawake wa mkoa gani we unaona ni waZuri zaidi ya Chuga?
Nilichogundua wewe unapenda mademu weupe....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kiufupi huko kaskazini mwa tz wamejaaliwa urembo wa sura tu,ila maumbo yao hayaeleweki matako kama wahindi ni flat,na wamejaaliwa kuwa na maziwa makubwa nahisi nyama za makalio zilikimbilia kwenye matiti,20 kwa mmoja ndio maumbo yao yanaeleweka.
 
Kiufupi huko kaskazini mwa tz wamejaaliwa urembo wa sura tu,ila maumbo yao hayaeleweki matako kama wahindi ni flat,na wamejaaliwa kuwa na maziwa makubwa nahisi nyama za makalio zilikimbilia kwenye matiti,20 kwa mmoja ndio maumbo yao yanaeleweka.
Tembea uone acha kuongea kwenye keyboard fala wewe

[emoji252] [emoji479]
 
Back
Top Bottom