Arusha "Kinara" huduma za kimawasiliano

Arusha "Kinara" huduma za kimawasiliano

Jamal Akbar

JF-Expert Member
Joined
Oct 9, 2014
Posts
413
Reaction score
471
Mkoa wa Arusha unaongoza nchini kwa kupatikana na kuchukuliwa kwa matumizi ya huduma za simu, posta na utangazaji; kwa mujibu wa takwimu za hivi karibuni na matokeo ya utafiti mdogo.

Arusha inaongoza kwenye matumizi ya mfumo wa anwani za makazi na postikodi. Ni mkoa wa i kwa uwiano wa idadi ya laini simu za mkononi zilizosajiliwa idadi ya watu na pia kwenye huduma za utangazaji za kulipia

Jumla ya laini 3,262,398 zimesajiliwa mkoa huo wenye wakazi milioni

1.9; ukilinganisha na Dares Salaam yenye wakazi milioni sita na laini 9,102,203; takwimu za mawasiliano za Juni 2022 zinaonyesha.

Asilimia 10 ya watumiaji wa huduma za utangazaji wa televisheni kwa kulipia Tanzania wako Arusha, kwa mujibu wa takwimu hizo, zilizotolewa na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) Arusha ya pili baada ya Dar es Salaam kwa wingi wa ving'amuzi vya kawaida vinavyowezesha kupatikana matangzo ya televisheni za mfumo wa ardhini. Kuna ving'amuzi 314,395 Arusha na 1,230,485 Dares Salaam.

Kuenea miongoni mwa watu ni aslimia 15 Arusha na 23 Dar es Salaam. Utafiti uliofanywa na TCRA mwaka 2020 kuhusu matumizi ya anwani za makazi na mfumo wa postiodi ulionyesha kwamba Arusha inaongoza kwa uelewa wa mfumo huo.

Jiji la Arusha ni mwenyeji wa Umoja wa Posta Afrika (PAPU), ambao kwa kushirikiana na TCRA unajenga jengo la ghorofa 19 litakalotumika kwa ofisi, kumbi za mikutano na hoteli ya kimataifa.

Untitled design (19).jpg
 
Mkoa wa Arusha unaongoza nchini kwa kupatikana na kuchukuliwa kwa matumizi ya huduma za simu, posta na utangazaji; kwa mujibu wa takwimu za hivi karibuni na matokeo ya utafiti mdogo.

Arusha inaongoza kwenye matumizi ya mfumo wa anwani za makazi na postikodi. Ni mkoa wa i kwa uwiano wa idadi ya laini simu za mkononi zilizosajiliwa idadi ya watu na pia kwenye huduma za utangazaji za kulipia

Jumla ya laini 3,262,398 zimesajiliwa mkoa huo wenye wakazi milioni

1.9; ukilinganisha na Dares Salaam yenye wakazi milioni sita na laini 9,102,203; takwimu za mawasiliano za Juni 2022 zinaonyesha.

Asilimia 10 ya watumiaji wa huduma za utangazaji wa televisheni kwa kulipia Tanzania wako Arusha, kwa mujibu wa takwimu hizo, zilizotolewa na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) Arusha ya pili baada ya Dar es Salaam kwa wingi wa ving'amuzi vya kawaida vinavyowezesha kupatikana matangzo ya televisheni za mfumo wa ardhini. Kuna ving'amuzi 314,395 Arusha na 1,230,485 Dares Salaam.

Kuenea miongoni mwa watu ni aslimia 15 Arusha na 23 Dar es Salaam. Utafiti uliofanywa na TCRA mwaka 2020 kuhusu matumizi ya anwani za makazi na mfumo wa postiodi ulionyesha kwamba Arusha inaongoza kwa uelewa wa mfumo huo.

Jiji la Arusha ni mwenyeji wa Umoja wa Posta Afrika (PAPU), ambao kwa kushirikiana na TCRA unajenga jengo la ghorofa 19 litakalotumika kwa ofisi, kumbi za mikutano na hoteli ya kimataifa.
View attachment 2581112
Dhumuni ya hili tangazo ni nini?
 
Dhumuni ya hili tangazo ni nini?
Huyo jamaa ukifuatilia hivi karibu kuna matukio ya hovyo yametokea huko Arusha nyuzi kibao sasa anakuja kama kusafisha na hilo jengo ndo hilo wanalipost kila mda ...

Leo kuna taarifa ya kutelekezqa watoto mwishoe kulawitiana huko Arusha sas anakuja kusafisha mji wao..
 
Huyo jamaa ukifuatilia hivi karibu kuna matukio ya hovyo yametokea huko Arusha nyuzi kibao sasa anakuja kama kusafisha na hilo jengo ndo hilo wanalipost kila mda ...

Leo kuna taarifa ya kutelekezqa watoto mwishoe kulawitiana huko Arusha sas anakuja kusafisha mji wao..
😂😂😂
 
😂😂😂
Hayo majengo yapo empty kila kona hata wenzao wanalalamika huko twitter...Mata utangazaji sijui kituo kikubwa cha Television huko kwao ni kip?😂😂

Mara line nyingi ,mara uwiano ,simuelewi .
 
Hayo majengo yapo empty kila kona hata wenzao wanalalamika huko twitter...Mata utangazaji sijui kituo kikubwa cha Television huko kwao ni kip?😂😂

Mara line nyingi ,mara uwiano ,simuelewi .
Tatizo wanavuta bangi bila kula.
 
Naona hii taarifa imeleta taharuki kwa wananzengo wale waichukiayo Arusha.
Hivi vitu vinapatikana Kaskade tu 😂😂😂
Nyie wasukuma mutasubiri Sana
 
Sasa anatokea mkoa gani wakati ...kituo Cha kwanza Cha ATN kilikuwa ni Arusha au hujui tukujuze?
ATN Kwani kila kitu ndo kilikuwa huko? Si kamji kamekuwa juzi tu kwa sababu ya utalii kama sio kupigiwa debe wenyewe mngebaki kuvuta mabangi tu.

Dar inaelekea kuwa mega city ikifuatiwa na Mwanza then Dodoma nyie mnatoa macho tu hapo😂😂😂
 
Back
Top Bottom