Arusha: Kinyesi cha Binadamu Chatumika Kutengeneza Mkaa

Arusha: Kinyesi cha Binadamu Chatumika Kutengeneza Mkaa

Faana

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2011
Posts
38,657
Reaction score
44,759
Kutoka BBC asubuhi hii, kuna vijana wabunifu wakazi wa Arusha wamekuja na mkaa unaotokana na kinyesi cha binadamu.
  • Ni mkaa usio na athari yoyote kiafya hata kama mtu atalala nao ndani
  • Ni mkaa unaokaa muda mrefu kuliko mkaa wa kawaida.
  • Huwezi kuuzima na maji kama mkaa mwingine
  • Hauna moshi
  • Kinyesi kinachotengeneza mkaa huo kinakuwa kikavu kama keki
NB: sijaelewa vizuri aliposema unatengenezwa kwenye nyuzi joto 450
 
Kutoka BBC asubuhi hii, kuna vijana wabunifu wakazi wa Arusha wamekuja na mkaa unaotokana na kinyesi cha binadamu.
  • Ni mkaa usio na athari yoyote kiafya hata kama mtu atalala nao ndani
  • Ni mkaa unaokaa muda mrefu kuliko mkaa wa kawaida.
  • Huwezi kuuzima na maji kama mkaa mwingine
  • Hauna moshi
  • Kinyesi kinachotengeneza mkaa huo kinakuwa kikavu kama keki
NB: sijaelewa vizuri aliposema unatengenezwa kwenye nyuzi joto 450
Unakaushwa na kuua vijidudu kwa nyuzijoto hizo ili uwe salama kuushika na kuutumia.
Kumbuka kuwa wanakichanganya na molasesi kabla ya kukikausha.
 
Unakaushwa na kuua vijidudu kwa nyuzijoto hizo ili uwe salama kuushika na kuutumia.
Kumbuka kuwa wanakichanganya na molasesi kabla ya kukikausha.
Asante Mkuu

Molasesi ni msamiati kwangu
 
Kutoka BBC asubuhi hii, kuna vijana wabunifu wakazi wa Arusha wamekuja na mkaa unaotokana na kinyesi cha binadamu.
  • Ni mkaa usio na athari yoyote kiafya hata kama mtu atalala nao ndani
  • Ni mkaa unaokaa muda mrefu kuliko mkaa wa kawaida.
  • Huwezi kuuzima na maji kama mkaa mwingine
  • Hauna moshi
  • Kinyesi kinachotengeneza mkaa huo kinakuwa kikavu kama keki
NB: sijaelewa vizuri aliposema unatengenezwa kwenye nyuzi joto 450
Duh...... haya endeleeni na ubunifu. Mi ndio maana sili majumbani kwa watu. Na nikija huko Arusha nakuja na jiko langu kabisaaaaaaaa
 
Najaribu kuimagine ile hatua ya mwanzo sasa kwamba mizigo ndio hiyo hapo imeletwa sijui kwenye mapipa...damn!!!

Ndio nilichokiwaza cha kwanza kabisa kwamba mchakato wa ukusanyaji wa mali ghafi unakuaje?

Tunapatiwa vyoo maalum au tunaachana na matumizi ya hivi vyoo vya kawaida?

Na inawezekana kutumia kinyesi cha wanyama? Kama vile mbuzi, kondoo, ng'ombe n.k
 
Back
Top Bottom