Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 21,741
- 26,735
Stendi ya Iringa ilikuwa katikati ya mji kabla ya kupelekwa Ipogolo na kuhamishwa tena.stendi kuwa katikati ndio inayoifanya Arusha iwe imechangamka zaida ya mwanza na iringa ndugu🤣🤣 miji yote mikubwa stendi ipo katikati ya mji mfano nairobi na kampala
Arusha waliipa hadhi ya jiji kimakosa.
Tatizo ni hali ya stendi ilivyo inatia aibu, mimi pia nipo Arusha Sasa nakubaliana na mtoa madastendi kuwa katikati ndio inayoifanya Arusha iwe imechangamka zaida ya mwanza na iringa ndugu🤣🤣 miji yote mikubwa stendi ipo katikati ya mji mfano nairobi na kampala
namjibu huyu mdau anayeongelea stendi kubwa ya mabasiUmesahau ma canter yamepaki yanauza mananasi Apo Apo stand
tatizo ni watu wanaakili za kukurupukaIla Dar ambayo 80% ya wakazi wake wanaishi kwny squatters yenyewe ilistahili kua jiji?
mikakati ipo ya kuihamisha ila kwa sasa bado ipo katikati kama kungekua hakuna mipango ya kuihamisha ningetia neno ila mipango ipo na eneo limeshapatikana there's no need to rush it kwanza hata foleni yenyewe si kubwa kivile ikifika saa moja tu yale mataa ya kuingilia stendi yameshawasha njano😂Tatizo ni hali ya stendi ilivyo inatia aibu, mimi pia nipo Arusha Sasa nakubaliana na mtoa mada
bado mnachanganyana mtoa mada anaongelea stendi ya kilombero ambayo kiukweli inatia aibu sana yani kunawakati nashindwa kuelewa uongozi wa jiji unashindwa hata kuweka paving pale, vibao pamoja na viti vya kusubiria usafiri ambapo naamini kabisa sio hela nyingi jiji linatia aibu mno stendi hata taa za usiku hamna. What a shame😎 ila mimi hoja yangu ilikua ni stendi ya mabasi makubwaTatizo ni hali ya stendi ilivyo inatia aibu, mimi pia nipo Arusha Sasa nakubaliana na mtoa mada
ni afadhali hata waifunge tu iwe kama mwanzo lakin kwa hali hii ni aibu kwa jiji letu tena jiji la kitaliiKwa kweli stendi ya Kilombero ni TAKATAKA kabisa, kipindi cha mvua ndio balaa zaidi.
Kuna huu upande wa magari yanayoenda Njiro, Moshono, Uswahilini, Dampo yanapotokea yani hapo napo panakera sana, vigari havikai kwa mpango ni vurugu tupu.
Pia kuna swala la utupaji taka hovyo, panatia aibu sana magari ya mananasi humo humo, sema bora hata saivi vibanda vimeondolewa pamekuwa wazi kidogo lakini uchafu ni kama kawa.
Tangu niijue Arusha for the first time mwaka 2010 hiyo stand iko ivoivo.
Hata ile stand ya mabasi ya mikoani ni finyu sana na imekaa pabaya.
Nilisikia wanaihamisha ila sijui kama wameshaihamisha.
Mazingira ya pale yanachukiza sana, sijui patabadilika linini afadhali hata waifunge tu iwe kama mwanzo lakin kwa hali hii ni aibu kwa jiji letu tena jiji la kitalii
Arusha waliipa hadhi ya jiji kimakosa.
kuwa na miundombinu ya umma sio kigezo cha kuwa jiji mapato ndio kigezo namba moja ila siasa za upinzani zimefanya arusha kutokupewa kipaumbele licha ya hivyo bado Arusha ndio jiji la pili kwa mtandao mkubwa wa barabara za lami bossArusha haikupaswa kuwa jiji, ina miondombinu ya umma mibovu sana.
kuwa na miundombinu ya umma sio kigezo cha kuwa jiji mapato ndio kigezo namba moja ila siasa za upinzani zimefanya arusha kutokupewa kipaumbele licha ya hivyo bado Arusha ndio jiji la pili kwa mtandao mkubwa wa barabara za lami boss
Arusha ina hype sana mitandaoni wakati ni pa kawaida sanaStand ya magari madogo Kilombero Almaarufu kama stand ya Hiace ambazo daladala zote za mjini huanzia hapo haikidhi kabisa vigezo vya kuitwa stand ya daladala kutokana na sababu zifuatazo.
Hakuna vibao vinavyoonyesha kwamba hapa ndipo yanapopaki magari ya uswahili, Njiro au Usa, bali dereva anapaki popote pale ndani ya kituo hicho.
Sehemu ya kujikinga mvua na jua kwa abiria hakuna, mvua na jua vyote vyao.
Uzio, kituo hicho hakina Uzio unaoonyesha mwanzo na mwisho wa kituo,
Uboreshaji wa kituo chini hamna ni udongo tu hivyo wakati wa mvua ni matope na wakati wa jua ni vumbi tupu.
Uchafu, kituo ni kichafu kutokana na kukosekana kwa mapipa ya kuwekea taka, taka zinatupwa popote pale.
View attachment 2008025View attachment 2008026 kituo hichi kipo katikati ya jiji
Kingine kinachonishangazaga inakuwaje mpaka leo Moshi sio jiji wakati imeipita mbali Arusha.
Ni lini uongozi wa jiji utapiga marufuku hivi vifodi kubeba abiria na kuruhusu coster kufanya hizo kazi?
kuna vifodi vinaendaga sanawari ya juu… aisee ni vituko sana utafikiri vigari vya mkaa kumbe zinabeba abiria, vipigwe marufuku tu wenye coster wanaojielewa wapewe kazi hivi vifodi vipelekwe kwenye ile mikoa ambayo baiskeli ndio usafiki mkuu (jokes)Wako nyuma sana hilo jiji.