Arusha kumejaa waimba taarabu wenye lafudhi isiyo ya mwambao wa Pwani

Arusha kumejaa waimba taarabu wenye lafudhi isiyo ya mwambao wa Pwani

FK21

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2019
Posts
8,600
Reaction score
10,760
Hakika baada ya mji wote kuteswa na kunyanyaswa na DANGOTE Kijana aliyezaliwa mwaka 2005

Nachelea kusema Wanawake na Wanaume wa ARUSHA wote ni ma ZUCHU tu

Yule mtoto alikuwa sio wa kusumbua popote yule alitakiwa kupigwa na vijana wawili tu

Nimesikia na kuona VIDEO clip ya FIDOVATO akitamba baada ya DANGOTE kufariki nikamuona ni muimba taarabu tu na anaonekana alikuwa analala saa moja kabisa kumuogopa DANGOTE MASTER


Arusha punguzeni midomo na kuvaaa oversized clothes
 
umemaliza? unajua sheria za kujichukulia ssheria mkononi madhara yake? sasa nani asietaka kuwaona wanawe wakikua na aishie nyuma ya nondo mze baba walaumu jeshi la polisi na sio raia tungeamua tungemnywa supu kitambo shida ni sheria.
 
mshamba_hachekwi vipi kijana,na wewe unaimba hizi ?[emoji1787]

huyo msanii zuchu ndio nimemsikia sasa na mleta thread anasema ndio nyie[emoji119][emoji1787]
Yaani hao watu nmewashusha vyeo kabisa Mimi ni uyo nilionesha middle finger unazani uyo shoga dangote angenipiga?
69bf87f96ec54f93ab198b7ff8d05333.jpg
 
umemaliza? unajua sheria za kujichukulia ssheria mkononi madhara yake? sasa nani asietaka kuwaona wanawe wakikua na aishie nyuma ya nondo mze baba walaumu jeshi la polisi na sio raia tungeamua tungemnywa supu kitambo shida ni sheria.
Yeye mbona alikuwa anachukua sheria mkononi?
 
Arusha ni kubwa huyo Dangote wengine wamemsikia baada ya kuuawa mtu afanye uharifu huko Unga Limited useme USA river au ngaramtoni wote wanahusika au East Africa kule huyo dogo kaharibu sana maeneo karibu na nyumbani kwao Unga limited, kona ya Esso na Ngarenaro usiku hayo maeneo yana giza sana hasa nyuma ya jengo la TFA ukisikia Dangote ni kama alikua anafanya uhalifu bara barani harafu watu wanamuona na kukimbia jombaa Arusha watu wana roho mbaya sana aisee ila kwa wezi wanaokingiwa kifua na Wazazi wao kama hapo Ngarenaro wanaiba simu Road na kukimbilia Vichochoroni huko ambako hauwezi kuwafata...
 
Yeye mbona alikuwa anachukua sheria mkononi?
we unataka ujibiwe kwa mihemko ndio shida. kwani sheria za nchi zinasemaje? je mwenye jukumu hilo ni polisi au ni mwananchi? jamii ishapeleka malalamiko mda waliokua wanapwaya ni jeshi si wananchi.
 
bro, arusha unayoiona kwenye media na ya uhalisia ni tofauti,

vitu vinakuzwa sana

arusha is one big meme
I wish siku nikakae nione/nipate experience ya life la Tanzanian Gangsters 🤣 .

Baadhi ya places ukiishi lile tifu la gangsters sio kitoto,Silaha sio visu pekee na watu wako na crew ya kushiba na hata wakikuangalia wanajua aaah huyu hamna kitu,
Kujichanganya huwezi yaan unaishi kama uko kanisani masomo ya upadriiii
 
Hakika baada ya mji wote kuteswa na kunyanyaswa na DANGOTE kijana aliyezaliaa mwaka 2005

Nachelea kusema wanawake na wanaume wa ARUSHA wote ni ma ZUCHU tu

Yule mtoto alikuwa sio wa kusumbua popote yule alitakiwa kupigwa na vijana wawili tu

Nimesikia na kuona VIDEO clip ya FIDOVATO akitamba baada ya DANGOTE kufariki nikamuona ni muimba taarabu tu na anaonekana alikuwa analala saa moja kabisa kumuogopa DANGOTE MASTER


Arusha punguzeni midomo na kuvaaa oversized clothes
Unachikitafuta kwa machalii wa Arachuga utakipata
 
I wish siku nikakae nione/nipate experience ya life la Tanzanian Gangsters 🤣 .

Baadhi ya places ukiishi lile tifu la gangsters sio kitoto,Silaha sio visu pekee na watu wako na crew ya kushiba na hata wakikuangalia wanajua aaah huyu hamna kitu,
Kujichanganya huwezi yaan unaishi kama uko kanisani masomo ya upadriiii
ukienda ukikaa miezi kadhaa ukawa na ile lafudhi tayari we gangster ukirudi dar wataanza kukuita chuga😂
 
Arusha ni kubwa huyo Dangote wengine wamemsikia baada ya kuuawa mtu afanye uharifu huko Unga Limited useme USA river au ngaramtoni wote wanahusika au East Africa kule huyo dogo kaharibu sana maeneo karibu na nyumbani kwao Unga limited, kona ya Esso na Ngarenaro usiku hayo maeneo yana giza sana hasa nyuma ya jengo la TFA ukisikia Dangote ni kama alikua anafanya uhalifu bara barani harafu watu wanamuona na kukimbia jombaa Arusha watu wana roho mbaya sana aisee ila kwa wezi wanaokingiwa kifua na Wazazi wao kama hapo Ngarenaro wanaiba simu Road na kukimbilia Vichochoroni huko ambako hauwezi kuwafata...
Kitendo Cha fidovato kulazwa saa 1 usiku kimeniuma sana tu
 
we unataka ujibiwe kwa mihemko ndio shida. kwani sheria za nchi zinasemaje? je mwenye jukumu hilo ni polisi au ni mwananchi? jamii ishapeleka malalamiko mda waliokua wanapwaya ni jeshi si wananchi.
Sheria zipo Ili zivunjwe tu
 
Back
Top Bottom