Arusha kumejaa waimba taarabu wenye lafudhi isiyo ya mwambao wa Pwani

Arusha kumejaa waimba taarabu wenye lafudhi isiyo ya mwambao wa Pwani

I wish siku nikakae nione/nipate experience ya life la Tanzanian Gangsters [emoji1787] .

Baadhi ya places ukiishi lile tifu la gangsters sio kitoto,Silaha sio visu pekee na watu wako na crew ya kushiba na hata wakikuangalia wanajua aaah huyu hamna kitu,
Kujichanganya huwezi yaan unaishi kama uko kanisani masomo ya upadriiii
Upanga ya enzi izo watu waliishi ki gangster
 
Kitendo Cha fidovato kulazwa saa 1 usiku kimeniuma sana tu
Daah sema wapo jamaa waoga hao utadhani wao hawarusiwi kutumia siraha yeyote huko Unga Limited ukipita mchana vima wanakushangaa huyu jamaa anajiamini nini au pana sehemu inaitwa Cheka ung'atwe ina balaa sana...
 
Back
Top Bottom