Arusha kuna harufu ya Mgawo wa umeme

Saidama

JF-Expert Member
Joined
Jun 10, 2022
Posts
598
Reaction score
1,151
Umeme umekua ukikatika mara kwa mara hivi sasa. Jana (15/06/2024) umeme umekatika saa mbili asubui na kurudi saa moja jioni.

Leo umeme umeshinda siku nzima ila majira ya saa kumi na mbili jioni umekatika (ratiba kama ile ile ya mgao).

Hili linakuja bila taarifa yoyote kutoka Tanesco kuelezea ni nini kinaendelea. Je ndo tumerudi kule kule? Hizi taarifa kwamba tuna umeme wa kutosha ni uzushi?!
 
Mmeanza kuleta tsharuki zenu sasa. Nyie semeni umeme unakatika msikimbilie kuna mgao.
 
Hata moshi tangu juzi hali ni hiyo hiyo
 
Siyo harufu...ni mgao wa umeme umeanza....navyoandika hapa umeme umekatika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…