K kina kirefu JF-Expert Member Joined Dec 14, 2018 Posts 15,188 Reaction score 18,583 May 2, 2021 #21 tweenty4seven said: Daaah kwahiyo mtuhumiwa anaachiwa,hakimu kavuta chake tayari Click to expand... Acha kuhukumu rudi kwenye agizo lamama naomba nikukumbushe.alisema kesi zakubumba zifutwe au serikali iachane Nazo...hivyo waliobakia ndani pengine ndo wabumbaji
tweenty4seven said: Daaah kwahiyo mtuhumiwa anaachiwa,hakimu kavuta chake tayari Click to expand... Acha kuhukumu rudi kwenye agizo lamama naomba nikukumbushe.alisema kesi zakubumba zifutwe au serikali iachane Nazo...hivyo waliobakia ndani pengine ndo wabumbaji