Arusha: Mama wa miaka 50 akutwa na bangi gunia 3

Hakuna serikali iliyowahi kumshinda mkulima wa bangi haswa wa kike,polisi mwachieni mama wa watu haraka iwezekanavyo la sivyo kimbunga cha Jah rastafarian,ever living,ever faithful,ever sure hakitawaacha salama.FIREEE BURN BABYLON.
unaitisha Jamuhuri sio
 
Hakuna serikali iliyowahi kumshinda mkulima wa bangi haswa wa kike,polisi mwachieni mama wa watu haraka iwezekanavyo la sivyo kimbunga cha Jah rastafarian,ever living,ever faithful,ever sure hakitawaacha salama.FIREEE BURN BABYLON.

Kimbunga gani hicho wewe!! Inakusje unahalalisha Kitu ambacho tayari Mwenyenzi Mungu ashakiharamisha! Jitafakari upya!
 
Salute kwa Wamama wa Arusha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…