Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,587
Wakuu,
Kuna mhudumu wa baa alikuwa ananihudumia, bahati mbaya au nzuri akanikubali akawa ananihudumia (plus watu wengine). Ana bastola kabisa maana mida ya saa 8 usiku kuamkia leo wakati tunataka kutoka nikakaa nae karibu wakati anatoa simu nikaiona kabisa.
Aina yake ni Bereta.
Sikujali, nilimalizana naye baadae,
Hajanidhuru hata kidogo.
Kuna mhudumu wa baa alikuwa ananihudumia, bahati mbaya au nzuri akanikubali akawa ananihudumia (plus watu wengine). Ana bastola kabisa maana mida ya saa 8 usiku kuamkia leo wakati tunataka kutoka nikakaa nae karibu wakati anatoa simu nikaiona kabisa.
Aina yake ni Bereta.
Sikujali, nilimalizana naye baadae,
Hajanidhuru hata kidogo.