Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
imposible. Arusha itanuka damu. Mungu aepushie mbali lkn thats how it is.. Huyu malaya akubali tu. Sipati picha lema angeshindwa halafu akatae labda angekuwa sero sasa.
Je kuna fujo ?
So nani haswa kashinda ?
Nini chanzo cha fujo ?
Chadema sasa rasmi imetwaa jimbo la Arusha...............Hili halina ubishi.........Katangazwa rasmi......
Chadema sasa rasmi imetwaa jimbo la Arusha...............Hili halina ubishi.........Katangazwa rasmi......
Chifu unakosea sasa kutukana mama za watu.
Tetesi zangu mimi nilizopata ni kwamba Batilda kashinda Arusha mjini. I hope cooler heads will prevail jamani, we don't wanna see violence hapo jijini. Besides, Arusha ndio jiji la bata, mkianza kupigana tena mnakuwa mnapoteza ladha ya A-town/
So wanaenda kupambana au??
Chadema sasa rasmi imetwaa jimbo la Arusha...............Hili halina ubishi.........Katangazwa rasmi......
Chadema sasa rasmi imetwaa jimbo la Arusha...............Hili halina ubishi.........Katangazwa rasmi......