Arusha: Mwanafunzi wa Chuo cha Tumaini, Makumira abakwa hadi mauti


Utaniuliza vipi swali lisilohusiana na post zangu, halafu unategemea nisitilie shaka uelewa wako?
Hivi kwani wewe ni Mmeru? ati kwasababu unamzungumzia msichana wa Arusha Makumira, nikulazimishe kujibu swali hilo unaonaje hapo.

Kama na hapo hujanielewa basi utakuwa na kiwango kidogo sana cha uelewa, sorry najitahidi nisikukwaze lakini naona huenda nikakukwaza ndugu.
 
UKISIKIA KUNA WATU Roho mbaya ndo hawa!..Duh sijui ni Visasi au nini? Orodha wapenzi wake kama wapo wakamatwe Kwa upererezi.
 
Dunia ya siku hzi bora ukutane na mnyama porini anaweza kukuhurumia lkn siyo binadamu
 
Tunachokiamini ni kumpa mfiwa neno la kumfanya awe na imani sio maneno kama hayo unajisikiaje angekuwa dada,mama,shangazi yako afu unasoma maneno kama uliyoandika ww mwenye ubongo uliojaa viloba na bange ambayo unaivuta hali ukiwa na njaa na nuwa linawaka pumbavu zako kama huna cha kukomenti kaa kimya sio unatoa kauli zisizokuwa hata na hofu ya mungu kima wee
 
Hao waliyombaka watafutwe n'a wachukuliwe hatua kali sana za kisheria....si ajabu wakawa ni watu waliyokuwa naye karibu...
Wakina dada kuweni makini sana Syo Kila mtu ni wa kumuamini.....jaribuni.....kuwa protective...Syo Kila mnawaona mnawaona watu wema....

R.I.P JULIANA
 
So sad [emoji22][emoji22][emoji26] watafutwe na kuchukuliwa hatua wote waliohusika pia tuwe walinzi wa wenzetu
 
UKISIKIA KUNA WATU Roho mbaya ndo hawa!..Duh sijui ni Visasi au nini? Orodha wapenzi wake kama wapo wakamatwe Kwa upererezi.
acha izo ww, we unadhani boyfriend ndo anaweza danya ayo
kaa pembembeni pale....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…