Arusha: Mwanafunzi wa Chuo cha Tumaini, Makumira abakwa hadi mauti

Arusha: Mwanafunzi wa Chuo cha Tumaini, Makumira abakwa hadi mauti

Ndiyo imebadilika lakini kinacho niuma ni jinsi watu hapa jamii forum wanavyojaribu kumlaumu marehemu. Eti amevaa nguo za kimalaya. It never ok to take someone life under any circumstances.
dah sio sahih kabsa kusema ivo,coz hilo suala la mavazi na kitendo kilichofanywa ni vitu viwili tofauti wala havitegemeani kwa unyama wa aina hyo kubaka na kufanya mauaji nadhani walokosea sana ni wahusika na si tabia ya huyo dada. wala mavazi. tunapaswa kuwa na utu.
 

Tukio kama hili lingetokea Marekani basi wahusika wangrkamakwa na kufikishwa mbele ya Sheria.

Ila hapa Bongo Sidhani kama tuna vyombo vya usalama vinavyoweza kushughulikia suala kama hili kwa ufanisi na kuwakamata wahusika.
 
Hawa wanaofanya hivi huwa bado wanajiona ni binadamu?!
 
Huo mtungo aliyofanyiwa Lazima utakuwa umetengenezwa ili aje afanyiwe.....polisi wawabane Wale wote waliyokuwa karibu naye n'a kuwahoji Lazima polisi watapata picha.

OVA
 
hivi dada wa watu kawakosea nn masikin dah ki ukwel imeniuma sana. R.I.P na pole kwa wazaz na pole nyengine chuon
 
mleta mada inabidi ukamaywe uisaidie polisi.
mwili umekutwa ukiwa umekufa,ulijuaje kuwa amebakwa ndio akafa?inamaana aliyekupa taarifa alikuwepo wakati wa tukio.
 
Huyu anaitwa Julliana issa ni vidio model katika nyimbo ya salome ya diamond alikuwa mwanafunzi wa chuo cha makunira kiliopo mkoani arusha akiwa anachuku shahada ya music hakika mungu akutangulie huko ulipo na akulaze mahali pema ilikuwa ni usiku wa kuamkia jana roho yako ilipotolewa na watu wasiokuwa na chembe ya huruma wala hofu ya mungu tena wameitoa huku wakikufedhehesha kwa kukubaka na kukulawiti bila huruma na kukuachia makovu sehemu mbalimbali za mwili wako na kukutupa kwenye poli liliopo pembezon mwa barabara.Julliana,naamin umedhulumiwa roho yako uku ukiwa na ndoto kibao za maisha yako ya baadae pia familia yako ikijuwa mtoto wao yuko chuoni makumira ili ukimaliza uweze wasaidia kwa namna moja ama nyingine julliana naamin katika hili kila aloshiriki katika kutoa uhai wako huku wakikubaka na kulawiti mungu hakuwa amelala ila amewaona na atawapa kinachstahiri kwao iwe hapa duniani au huko mbinguni,naamini bwana ametwaa jina la bwana lihidimiwe milele
9daa3fda66c06555512604199f85fbf2.jpg
3dae4a3b8370a6e3dab3a93423bcf287.jpg
1a99a468a59a4ae3bad27ae4e8f2ec9e.jpg
Mkuu nasikia sio yeye...video queen wa Salome sio huyu
 
Aliyekufa sio video queen wa salome jamani..ila walikuwa marafiki tu
 
Naomba nitajiwae ni dk ya ngapi naweza muona kwenye video, au naomba anayeweza snip tool sehemu ya video plse.
 
Back
Top Bottom