Arusha: Mwanafunzi wa Chuo cha Tumaini, Makumira abakwa hadi mauti

Ndiyo imebadilika lakini kinacho niuma ni jinsi watu hapa jamii forum wanavyojaribu kumlaumu marehemu. Eti amevaa nguo za kimalaya. It never ok to take someone life under any circumstances.
dah sio sahih kabsa kusema ivo,coz hilo suala la mavazi na kitendo kilichofanywa ni vitu viwili tofauti wala havitegemeani kwa unyama wa aina hyo kubaka na kufanya mauaji nadhani walokosea sana ni wahusika na si tabia ya huyo dada. wala mavazi. tunapaswa kuwa na utu.
 

Tukio kama hili lingetokea Marekani basi wahusika wangrkamakwa na kufikishwa mbele ya Sheria.

Ila hapa Bongo Sidhani kama tuna vyombo vya usalama vinavyoweza kushughulikia suala kama hili kwa ufanisi na kuwakamata wahusika.
 
Hawa wanaofanya hivi huwa bado wanajiona ni binadamu?!
 
Huo mtungo aliyofanyiwa Lazima utakuwa umetengenezwa ili aje afanyiwe.....polisi wawabane Wale wote waliyokuwa karibu naye n'a kuwahoji Lazima polisi watapata picha.

OVA
 
hivi dada wa watu kawakosea nn masikin dah ki ukwel imeniuma sana. R.I.P na pole kwa wazaz na pole nyengine chuon
 
mleta mada inabidi ukamaywe uisaidie polisi.
mwili umekutwa ukiwa umekufa,ulijuaje kuwa amebakwa ndio akafa?inamaana aliyekupa taarifa alikuwepo wakati wa tukio.
 
Mkuu nasikia sio yeye...video queen wa Salome sio huyu
 
Aliyekufa sio video queen wa salome jamani..ila walikuwa marafiki tu
 
Naomba nitajiwae ni dk ya ngapi naweza muona kwenye video, au naomba anayeweza snip tool sehemu ya video plse.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…