Arusha: Mwanafunzi wa Chuo cha Tumaini, Makumira abakwa hadi mauti

Arusha: Mwanafunzi wa Chuo cha Tumaini, Makumira abakwa hadi mauti

Lakini siku zote tutawatupia lawama wabakaji,,,,kwajinsi hawa dada zetu mavazi wanaoyo yavaa siku hizi ni ngumu sana kujizuia...
Wewe ni mnyama kiasi gani usiyeweza kuzuia matamanio ya kingono yako?...umbake na umuue kisa umemtamani kwa uvaaji wake?
 
RIP Juliana. Poleni sana wafiwa. Nimesikitika kwa hili tukio la kifedhuli.

Uchunguzi wa kina sana ufanyike kwa huyo mzungu aliepiga nae picha. Kuanzia uhusiano wao, uraia wa mzungu, vibali kuishi nchini, anajishughulisha na nini, raia wa wapi, familia ya mzungu na anaohusiana nao, n.k.?

Japo sina hakika itasaidia nini lakini uchunguzi wa kina ufanyike kwenye familia yake pia. Ana ndugu wa kuzaliwa wangapi na vipi uhisano wao? Vipi mahusiano yake na wazazi? Wazazi wametengana au wapo pamoja? Kama wako pamoja wana maelewano?

Kama wazazi wake wametengana ilikua kwa heri au kwa shari? Kama ni kwa shari je binti alichochea/ni kisababishi? Je wazazi wake wana magomvi ya kudumu na jamii/familia zingine yanayoweza kusababisha kulipizana visasi?

Maisha yake hapa chuo alikua binti mstaarabu sana asie na makuu wala kupenda starehe kama wengine wanavyosheheneza humu.
Habari ya jioni wanaTUMA....Serikali ya wanafunzi TUMASO inapenda kuujisha umma kuwa Mpendwa marehemu JULIANA ISAWAFO ambaye taarifa za kudhurika na kifo chake zinazosambaa katika mitandao ya kijamii hakuwa mwanafunzi wa TUMAINI MAKUMIRA Bali ni sehemu ya jamii yetu ya TUMA sababu alikuwa binti aliyeishi kwa karibu Sana na Mhadhiri STUBBS RANDALL...Hivyo tunawapa pole ndugu jamaa na wafiwa wote na tutaendelea kuwajuza taarifa mbalimbali kadiri zinapotufikia...
BY:WIZARA YA HABARI NA MAWASILIANO YA NJE- TUMASO.
 
Kama kawa....mlaumu aliyebakwa but usimlaumu mbakaji....kwa wale waliosema uyu binti amestailiwa kubakwa coz ya life style yake naomba nichukue muda huu kumkemea kwa asilimia 1000% na kusema mbakaji ni mbakaji...uwe umevaa hijab au niqab na baibui au ubaki uchi wa mnyama kama mtu Ana tabia iyo ni atakubaka tu na lazima tupige vita vya ubakaji na sio kuwalaumu waliobakwa
 
Habari ya jioni wanaTUMA....Serikali ya wanafunzi TUMASO inapenda kuujisha umma kuwa Mpendwa marehemu JULIANA ISAWAFO ambaye taarifa za kudhurika na kifo chake zinazosambaa katika mitandao ya kijamii hakuwa mwanafunzi wa TUMAINI MAKUMIRA Bali ni sehemu ya jamii yetu ya TUMA sababu alikuwa binti aliyeishi kwa karibu Sana na Mhadhiri STUBBS RANDALL...Hivyo tunawapa pole ndugu jamaa na wafiwa wote na tutaendelea kuwajuza taarifa mbalimbali kadiri zinapotufikia...
BY:WIZARA YA HABARI NA MAWASILIANO YA NJE- TUMASO.
Kidogo kidogo news zinaanza kuleta maana. Asante
 
R.I.P ila cha msingi ni kuwa dada zetu wajiheshimu mavazi hatari sana hao washkaji wamekosea kuua ila wangebaka tu kutuoa fundisho
Utakuwa mbakaji tu. Kama una mtoto wa kike au ukija kupata mtoto wa kike ngoja siku moja naye wamlawiti ili kukupa wewe fundishoo. Ukiona mtu anaongea staili kama yako ujue hana familia. Ukipata familia ndo utajua uchungu alio nao mzazi wa huyo mtoto. Unashindwa kuthibiti tamaa zako unakuwa kama mnyamaaa..
 
Mkuu hiko kisa kinuma sana ila ni kitu gani kilifanya hadi akauwawa? mtu hawezi kufanyiwa jambo kama hilo hivi hivi jaman hapo lazima kuna kitu. Ningependa ushahidi wa kifo chake halaf tujadili
Nakubariana na wewe Mkuu!
 
Mkuu Nkanaga,

Umeongea jambo la msingi sana... WATOTO! Hayabusa ndugu yangu Mahmoud Qaasim tusaidie na hapa! Wale watoto ambao si ajabu hata kidogo kusikia nao wamebakwa na kuuawa! Nao wanakuwa wavaa nguo fupi?! Nao wanakuwa ni watu wanaotembelea sehemu hatarishi?! Nao wanakuwa ni watu wanaopenda kujirusha?! Au hujawahi kusikia matendo kama haya hata uamini unapotokea ushenzi kama huu basi itakuwa ni fault ya muathirika! Mwakajana mtoto wa kiume alifanyiwa unyama ambao sikuwahi hata kuuwazia kwamba ungeweza kutokea! Mtoto huyu alilawitiwa na vijana zaidi ya mmoja na kama hiyo haitoshi wakamshindilia vitu kwenye njia ya haja kubwa lakini bado kuna watu wanaamini hata panapotokea ukatili kama huu bado kutakuwa na sababu! Hivi ni sababu gani inaweza kuhalalisha ukatili kama huu!

Hakuna mtu anajaribu ku-justfy uhalifu, uhalifu utaendelea kubaki uhalifu tu, nimekwambia uhalifu uko wa aina nyingi na sababu zake ni nyingi pia, sasa kuleta kwako suala la Annet Msuya ndio umeona kigezo cha kuonesha kwamba wauwaji hawana zaidi ya ubakaji na uuwaji, pia huoni kwamba ume-support hoja yangu kwamba kunakuwa na zaidi ya hayo nyuma ya tukio? Annet Msuya issue inahusu visasi na mali, hivyo lengo halikuwa ubakaji wala tamaa ya ngono.
 
Hivi unabaka mwanamke ili iweje? Watu wengine wanatia aibu sana jinsia ya kiume
Wanabaka ili watimize hamu zao za kimwili ambazo zinachochewa na wanawake wasiojisetiri ipasavyo kama staili ya mavazi ya marehemu (RIP). Unakuta mwanamke amevaa nguo iliyoacha sehemu kubwa ya mwili wake nje kama mapaja, tumbo, matiti, mabega, nguo nyepesi zinazobana makalio mpaka kuonyesha nguo za ndani n.k; halafu anapita au yuko maeneo hatarishi vichochoroni, sehemu za vilevi, tena nyakati mbaya; anataka nini au anamkoga nani? Akamkoge mmewe au hawara yake chumbani, akijizagalisha kitaa atapewa mambo. Heri apewe mambo na asiowajua, akiwatambua watampa mambo na kumtoa uhai. Wanawake kuweni makini, mchezo wenu mauti yenu.
 
Wanabaka ili watimize hamu zao za kimwili ambazo zinachochewa na wanawake wasiojisetiri ipasavyo kama staili ya mavazi ya marehemu (RIP). Unakuta mwanamke amevaa nguo iliyoacha sehemu kubwa ya mwili wake nje kama mapaja, tumbo, matiti, mabega, nguo nyepesi zinazobana makalio mpaka kuonyesha nguo za ndani n.k; halafu anapita au yuko maeneo hatarishi vichochoroni, sehemu za vilevi, tena nyakati mbaya; anataka nini au anamkoga nani? Akamkoge mmewe au hawara yake chumbani, akijizagalisha kitaa atapewa mambo. Heri apewe mambo na asiowajua, akiwatambua watampa mambo na kumtoa uhai. Wanawake kuweni makini, mchezo wenu mauti yenu.
Ni hulka tu mkuu, ukitaka kuelewa hilo, jiulize ni kwa vipi mbuzi, punda, kuku na hayawani wengine wanaingiliwa na watu ndio utajua. Au nao wanapaswa kujistiri?
 
Ni hulka tu mkuu, ukitaka kuelewa hilo, jiulize ni kwa vipi mbuzi, punda, kuku na hayawani wengine wanaingiliwa na watu ndio utajua. Au nao wanapaswa kujistiri?
Hayawani hawajumbwa kujisetiri kwa mavazi; maungo yao yanasetiriwa kwa namna walivyoumbwa. Mwanadamu akimwingilia mnyama hilo ni tatizo jingine la kisaikolojia ambalo wajuvi wanaweza kutujuza, si jambo la kawaida kwa mwanamme kumwakia tamaa mnyama; lakini hutokea kwa nadra. Wanaadamu tumekuwa na mwenendo usiofaa kuliko hata wanyama, japo tumejaliwa utambuzi na utawala kwa hayawani wote. Tunafanya mapenzi ya jinsia moja, kinyume cha maumbile; mambo ambayo hayawani hawafanyi. Watu wazima kufanya mapenzi na watoto, jambo ambalo hayawani hawafanyi; hutamkuta jogoo anampanda kifaranga, au fahali akimpanda ndama; wanaadamu tunawayawaya, tumepotea; tigo ndio mtindo, usipopiga unaonekana fala.
 
Wanabaka ili watimize hamu zao za kimwili ambazo zinachochewa na wanawake wasiojisetiri ipasavyo kama staili ya mavazi ya marehemu (RIP). Unakuta mwanamke amevaa nguo iliyoacha sehemu kubwa ya mwili wake nje kama mapaja, tumbo, matiti, mabega, nguo nyepesi zinazobana makalio mpaka kuonyesha nguo za ndani n.k; halafu anapita au yuko maeneo hatarishi vichochoroni, sehemu za vilevi, tena nyakati mbaya; anataka nini au anamkoga nani? Akamkoge mmewe au hawara yake chumbani, akijizagalisha kitaa atapewa mambo. Heri apewe mambo na asiowajua, akiwatambua watampa mambo na kumtoa uhai. Wanawake kuweni makini, mchezo wenu mauti yenu.
Unajibu pumba tu..wanaofatwagwa majumban kwao na kubakiwa kwao wanakuaga hawajajistiri? Wanaume especially waafrica muache kujiendekeza na tamaa zenu za kipuuz tena sababu zisizo na mashiko ntu avae yy ww uendekeze tamaa ya nn unataka kuniambia wanaume wenzenu wa mataifa tofauti hawajaumbwa? Hebu toeni utetez wenu wa kipumbavu..mngekua wanaume kweli mngedili na mashoga sio kutetea wabakaji na kuwapa haki ya kufanya hivyo pumbavu kabisa! James delishaz na kaoge tu wamewashinda mnakslia kuongea pumba tu..mmekazana picha picha nusu uchi nusu uchi kwa hiyo na ww hiyo avatar yako ya wadada na ww ni mwansume tukujudge una tabia za kishoga? Stupid short mind!
 
Back
Top Bottom