Arusha: Mzee ashilikiliwa na Polisi kwa tuhuma za kuwaomba watoto wadogo wa kiume wamwingilie kinyume na maumbile

Arusha: Mzee ashilikiliwa na Polisi kwa tuhuma za kuwaomba watoto wadogo wa kiume wamwingilie kinyume na maumbile

Bushmamy

JF-Expert Member
Joined
Aug 18, 2019
Posts
9,140
Reaction score
15,963
Mzee mmoja ajulikanae kwa jina la Daniel Epiniel ambaye ni mpangaji katika nyumba ya Bwana Joseph Mollel iliyopo Kata ya Sekei jijijini Arusha, anashikiliwa na Polisi baada ya kutuhumiwa kuwarubuni watoto wadogo wa kiume chini ya umri wa miaka 10 wamwingilie kinyume na maumbile.

Mwenye Nyumba Joseph anasema amekuwa akiona watoto wanaingia chumbani kwa huyo Mzee na kujifungia chumbani kwa Muda mrefu ndipo walipopata wasiwasi juu ya mzee huyo na kufanya uchunguzi kwa kupitia watoto hao .

Mke wa Joseph juzi alipoona mtoto ameingia chumbani kwa mzee huyo na kujifungia nae ndani alisubiri hadi alipotoka chumbani na kumuuliza mtoto huyo alikuwa anafanya nini huko chumbani kwa Babu ndipo alipoanza kulia na kuanza kueleza ukweli wa alichokuwa anafanya na mzee huyo kuwa mzee huyo huwa analala uchi kitandani na kuwaambia wamwingilie kinyume na maumbile pamoja na kumshika shika sehemu za siri.

Babu huyo alipohojiwa amekiri kweli kuwaomba watoto hao wamwingilie na anasema jumla ya watoto aliowashawishi wamwingilie sio wengi bali ni watoto sita tu.

Soma Pia: Mwalimu atupwa jela miaka 30 kwa kumshawishi mwanafunzi amlawiti

Balozi wa shina hilo Nicko Mollel amethibitisha kutokea kwa tukio hilo katika eneo lake na kusema kuwa Mzee huyo amekuwa akiwapa watoto hao pipi na hela.
 
Mzee mmoja ajulikanae kwa jina la Daniel Epiniel ambaye ni mpangaji katika nyumba ya Bwna joseph Mollel iliyopo kata ya Sekei jijijini Arusha, anashikiliwa na jeshi la polisi baada ya kutuhumiwa kuwarubuni watoto wadogo wa kiume chini ya umri wa miaka 10 wamwingilie kinyume na maumbile.

Mwenye Nyumba joseph anasema amekuwa akiona watoto wanaingia chumbani kwa huyo
Mzee na kujifungia chumbani kwa Muda mrefu ndipo walipopata wasiwasi juu ya mzee huyo na kufanya uchunguzi kwa kupitia watoto hao .

Mke wa Joseph juzi alipoona mtoto ameingia chumbani kwa mzee huyo na kujifungia nae ndani alisubiri hadi alipotoka chumbani na kumuuliza mtoto huyo alikuwa anafanya nini huko chumbani kwa Babu ndipo alipoanza kulia ,na kuanza kueleza ukweli wa alichokuwa anafanya na mzee huyo kuwa mzee huyo huwa analala uchi kitandani na kuwaambia wamwingilie kinyume na maumbile pamoja na kumshika shika sehemu za siri

Babu huyo alipohojiwa amekiri kweli kuwaomba watoto hao wamwingilie ,na anasema jumla ya watoto aliowashawishi wamwingilie sio wengi Bali ni watoto sita tu.

BaLozi wa shina hilo Nicko Mollel amethibitisha kutokea kwa tukio hilo katika eneo lake na kusema kuwa Mzee huyo amekuwa akiwapa watoto hao pipi na hela,.
Da! Kila uchwao na mambo mapya. Watoto wakiume nao wanahitaji ulinzi mkubwa kuliko kawaida.
 
Mzee mmoja ajulikanae kwa jina la Daniel Epiniel ambaye ni mpangaji katika nyumba ya Bwna joseph Mollel iliyopo kata ya Sekei jijijini Arusha, anashikiliwa na jeshi la polisi baada ya kutuhumiwa kuwarubuni watoto wadogo wa kiume chini ya umri wa miaka 10 wamwingilie kinyume na maumbile.

Mwenye Nyumba joseph anasema amekuwa akiona watoto wanaingia chumbani kwa huyo
Mzee na kujifungia chumbani kwa Muda mrefu ndipo walipopata wasiwasi juu ya mzee huyo na kufanya uchunguzi kwa kupitia watoto hao .

Mke wa Joseph juzi alipoona mtoto ameingia chumbani kwa mzee huyo na kujifungia nae ndani alisubiri hadi alipotoka chumbani na kumuuliza mtoto huyo alikuwa anafanya nini huko chumbani kwa Babu ndipo alipoanza kulia ,na kuanza kueleza ukweli wa alichokuwa anafanya na mzee huyo kuwa mzee huyo huwa analala uchi kitandani na kuwaambia wamwingilie kinyume na maumbile pamoja na kumshika shika sehemu za siri

Babu huyo alipohojiwa amekiri kweli kuwaomba watoto hao wamwingilie ,na anasema jumla ya watoto aliowashawishi wamwingilie sio wengi Bali ni watoto sita tu.

BaLozi wa shina hilo Nicko Mollel amethibitisha kutokea kwa tukio hilo katika eneo lake na kusema kuwa Mzee huyo amekuwa akiwapa watoto hao pipi na hela,.
Chai za polisi hizi
 
Huo sasa ni ushoga ulivuka viwango!
Huyo mzee atakuwa mshirikina make angekuwa ni shoga kindakindaki angetafuta midume mishabab imfumue hiyo inya yake mpaka iwake moto kuliko kuguswaguswa na vibamia vya watoto visivyotoa ujiuji!
 
Da! Kila uchwao na mambo mapya. Watoto wakiume nao wanahitaji ulinzi mkubwa kuliko kawaida.
Kwa hiyo na wewe unaamini hizi bla bla?

Ukioma habari za hovyo hovyo kama hizi ujue kuna Tukio Kubwa Huko Arusha linapigwa au linaandaliwa kupingwa muda wowote hizi ni kupoteza maboya.

Mtoto wa chini ya miaka Kumi hata kusimama haisimami sembuse hup ufirauni?
 
Sasa huyo mzee mbona kaachiliwa na polisi licha ya
kuwa ingilia watoto wadogo hao

Ova
Baada ya kachiwa na jeshi la polisi na kupewa adhabu ya kuripoti polisi kwa Muda wa wiki mbili ndipo wananchi wa mtaa huo wakaapa kufa nae endapa hawatakamata ndipo jeshi la polisi likamkamata na sasa anashikiliwa na jeshi la polisi
 
Mzee mmoja ajulikanae kwa jina la Daniel Epiniel ambaye ni mpangaji katika nyumba ya Bwna joseph Mollel iliyopo kata ya Sekei jijijini Arusha, anashikiliwa na jeshi la polisi baada ya kutuhumiwa kuwarubuni watoto wadogo wa kiume chini ya umri wa miaka 10 wamwingilie kinyume na maumbile.

Mwenye Nyumba joseph anasema amekuwa akiona watoto wanaingia chumbani kwa huyo
Mzee na kujifungia chumbani kwa Muda mrefu ndipo walipopata wasiwasi juu ya mzee huyo na kufanya uchunguzi kwa kupitia watoto hao .

Mke wa Joseph juzi alipoona mtoto ameingia chumbani kwa mzee huyo na kujifungia nae ndani alisubiri hadi alipotoka chumbani na kumuuliza mtoto huyo alikuwa anafanya nini huko chumbani kwa Babu ndipo alipoanza kulia ,na kuanza kueleza ukweli wa alichokuwa anafanya na mzee huyo kuwa mzee huyo huwa analala uchi kitandani na kuwaambia wamwingilie kinyume na maumbile pamoja na kumshika shika sehemu za siri.

Babu huyo alipohojiwa amekiri kweli kuwaomba watoto hao wamwingilie ,na anasema jumla ya watoto aliowashawishi wamwingilie sio wengi Bali ni watoto sita tu.

Soma Pia: Mwalimu atupwa jela miaka 30 kwa kumshawishi mwanafunzi amlawiti

Balozi wa shina hilo Nicko Mollel amethibitisha kutokea kwa tukio hilo katika eneo lake na kusema kuwa Mzee huyo amekuwa akiwapa watoto hao pipi na hela,.
Lahaullah lakuata!🤔
 
Back
Top Bottom