Arusha: Nyumba zaidi ya 10 zaezuliwa paa kutokana na upepo mkali

Arusha: Nyumba zaidi ya 10 zaezuliwa paa kutokana na upepo mkali

Bushmamy

JF-Expert Member
Joined
Aug 18, 2019
Posts
9,140
Reaction score
15,963
Mvua kubwa iliyonyesha jana jijini Arusha iliyoambatana na upepo mkali imeezua nyumba zaidi ya kumi katika mtaa wa mashariki na kuacha familia kadhaa bila makazi.

Kutokana na upepo kuwa mkali zilipeperusha mbali bati hizo na hazikupatikana hata moja hakuna majeruhi wala vifo.
 
Back
Top Bottom