Bushmamy
JF-Expert Member
- Aug 18, 2019
- 9,140
- 15,963
Mvua kubwa iliyonyesha jana jijini Arusha iliyoambatana na upepo mkali imeezua nyumba zaidi ya kumi katika mtaa wa mashariki na kuacha familia kadhaa bila makazi.
Kutokana na upepo kuwa mkali zilipeperusha mbali bati hizo na hazikupatikana hata moja hakuna majeruhi wala vifo.
Kutokana na upepo kuwa mkali zilipeperusha mbali bati hizo na hazikupatikana hata moja hakuna majeruhi wala vifo.