Uchaguzi 2020 Arusha: Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, yashiriki kualika watu kwenye Mikutano ya Kampeni ya CCM

Uchaguzi 2020 Arusha: Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, yashiriki kualika watu kwenye Mikutano ya Kampeni ya CCM

dubu

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2011
Posts
3,502
Reaction score
3,483
Wakuu, hii kikatiba imekaaje?

IMG_20201023_055536_311.jpg
 
Haikihusu, barua sio yako

Subirini dawa iwakolee hadi mpeleke malalamiko kwa mababa zenu Marekani sisi tumeshavuka 28 Oktoba.

Hapa lengo ni kumpiga kibaraka wa Wazungu na ushoga
 
Upinzani bila kuungana kwa dhati pasipo hila mioyoni mwao wataendelea kugalagazwa kwa miaka mingi na kisingizio kitabaki polisi na tume ya uchaguzi.
 
Baadaye Utawasikia Wakijinadi Eti Hao Wote Ni Wanachama Wa Kijani!! Acheni Watu Waje Wenyewe Mnatumia Njia Duni, Mara Mnawapa Wanafunzi T-shirt. Zungu Naye Anamwaga Sera Chekechea
 
Back
Top Bottom