Mindyou
JF-Expert Member
- Sep 2, 2024
- 1,869
- 4,877
Wakuu,
Tunaposema kwamba CCM wameanza kampeni kabla ya muda elekezi hii ndio maana yake.
=========================================================
Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Christian Makonda, leo Januari 24, 2025, amepokea pikipiki 20 zilizotolewa na Leopard Foundation kwa Jeshi la Polisi Mkoani Arusha ili kusaidia kuimarisha ulinzi na usalama.
Wakati wa hafla hiyo, Makonda amesema juhudi za wafanyabiashara kama Leopard Foundation zina mchango mkubwa katika maendeleo ya kiuchumi na kijamii kupitia fursa za ajira na misaada wanayotoa kwa jamii.
Leopard Foundation, kupitia Mwenyekiti wake Mustapha Lalji, imesema msaada huo ni sehemu ya jitihada za kuunga mkono juhudi za serikali katika kuimarisha sekta ya usalama na maendeleo ya jamii.
Tunaposema kwamba CCM wameanza kampeni kabla ya muda elekezi hii ndio maana yake.
=========================================================
Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Christian Makonda, leo Januari 24, 2025, amepokea pikipiki 20 zilizotolewa na Leopard Foundation kwa Jeshi la Polisi Mkoani Arusha ili kusaidia kuimarisha ulinzi na usalama.
Wakati wa hafla hiyo, Makonda amesema juhudi za wafanyabiashara kama Leopard Foundation zina mchango mkubwa katika maendeleo ya kiuchumi na kijamii kupitia fursa za ajira na misaada wanayotoa kwa jamii.
Leopard Foundation, kupitia Mwenyekiti wake Mustapha Lalji, imesema msaada huo ni sehemu ya jitihada za kuunga mkono juhudi za serikali katika kuimarisha sekta ya usalama na maendeleo ya jamii.